Wanajamvi pamoja na tamko zuri lililotolewa bungeni hususani kuwarudisha kazini watumishi darasa LA saba. Watumishi hao bado wanahaha hasa wale wa mashirika ya umma. Maafisa utumishi wakidai eti hawafanyi kazi kwa matamko wanahitaji waraka. Ombi waziri mwenye dhamana Mzee wetu mwalimu Mkuchika tuzaidie hako kawaraka hata kama kamstari mmoja ili turejeshwe kazini.