Sakata la upelekekaji wa mchanga nje ya nchi chanzo chake kimesababishwa na wabunge wa CCM

Jamani narudia tena hakuna mijitu haijielewi na mishabiki yaujinga kama sisi mitanzania naongea nauchungu Sana mimi kama mtanzania.wapinzani walipga kelele Sana juu ya KMCL,kabla ya kuitwa ABGL na leo ACACIA juu ya wizi uliokuwa unafanywa,hasa mbowe alilipgania Sana jambo hili lakini zomeazomea za wana ccm bungeni ndo limetufukisha hapa.nyie ccm niwanafiki Sana ilifikia hatua mchanga ulikuwa unasafilishwa usiku wa manane ilikuficha aibu na mda mwingne serikali kutoa ulinzi ku escort mchanga Wa zahabu.sasa basi magufuli usile dagaa kula na samaki sababu najua kabisa unawajua wote samaki waliokuwa wanakula hii ishu.uskomee kwa hao TMAA vngnevyo hakuna ktu hapo.afu hao acacia ata kulipa watu maeneo yao hawaja wahi kulipa.wapinzani washaongea Sana bungeni lakini hakuna kitu nikuzomewa tuu na mi Ccm na kuna tetesi pia za kuhusu kufukiwa watu wakiwa hai madualani hii nayo wapinzani washa ongea sana bungeni lakini hakuna kitu.kunakipindi mrema hadi alionyesha video ya matukio kpindi watu wakifukiwa lakini hawahawa ccm wakamtulza Mzee wawatu.naichukia ccm huyu ndo alie tufanya tuwe hapa tulpo.
 
Tuwakumbushe tena ilivyokuwa wakati sheria mbovu ya madini inapitishwa wakati ule:
Spika: Wanaoafiki mswaada mpya wa sheria ya madini unaohalalisha wawekezaji kuchimba na kuuza dhahabu yote pamoja na mchanga wa makinikia nje ya nchi waseme ndiyo
Wabunge wote wa CCM: Ndiyoooooooooooooooooooooooooo
Wabunge wa vyama vya upinzani: Siyoo
Spika: Waliosema ndiyo wameshinda...
 
Na alipiga kura ya ndiyo, saizi snalalamika
Tunaitaji viongozi wazalendo wanaojali maslai ya taifa na vizazi vijavyo. Badala ya kuwa na viongozi wanafiki, wabaguzi , wakabila na wabinafsi kama tulionao na tuliokuwa nao
Pia kama rais anania njema na taifa basi aruhusu katiba ya jaji warioba (wananchi) hata kama atatoa serikari tatu lakini maudhui ya katiba ile ni nusu ya suluhisho la tatizo.
Pia ni muhimu kujenga taasisi imara kama bunge, mahakama , police, usalama kuwa huru kama wenzetu usa ambao kila taasisi ni huru katika decisions
Sasa hivi anajisahaulisha na kujiona msafi. Mimi haya yote anayofanya naona ni kutafuta cheap popularity na Huruma ya wananchi
 
Kumbuka na Mkuu wetu wa nchi alikuwepo wakati mikataba hii mibovu na akawa sehemu ya waliosema ndio. Leo tunahangaika kujinasua na mikataba hiyo kwa mtindo unaoelekea kutogharimu muda si mrefu. Any way, ngoja tuone hii kamati ya maprofesa itashauri nini.
Acha upumbavu wewe!! Alikuwa Waziri wa Nishati na Madini?
 
Acha upumbavu wewe!! Alikuwa Waziri wa Nishati na Madini?
MIKATABA mikubwa inapelekwa baraza la mawaziri
Sizonje alikuwa ni waziri , je alisaidia nini taifa katika kupitisha mkataba wa kinyonyaji?
Lakini wacha tumpongeze kwa hatua hii aliyofanya kama ni kutoka moyoni.
Pia ni vyema awe makinibkwani tukuteleza tu watatunyoosha kwa pasi ya three phase.
 
MIKATABA mikubwa inapelekwa baraza la mawaziri
Sizonje alikuwa ni waziri , je alisaidia nini taifa katika kupitisha mkataba wa kinyonyaji?
Lakini wacha tumpongeze kwa hatua hii aliyofanya kama ni kutoka moyoni.
Pia ni vyema awe makinibkwani tukuteleza tu watatunyoosha kwa pasi ya three phase.
Sasa yeye ni Rais. Ana uwezo wa kubadilisha mambo ambayo Kanuni ya Uwajibikaji wa Pamoja ( Collective Responsibility ) vilimbana na asingeweza kupingana na maamuzi ya wengi. Jambo hili wanywa viroba wengi hasa ninyi vijana wa juzi hamlijui!!
 
Mfano,mzuri ni wakati wa mikataba ya gesi,wabunge walipiga kelele ipelekwe bungeni,ikajadiliwe lakin,wabunge wa ccm,walikataa,mpaka Leo.
 
Back
Top Bottom