Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Dah bi Kiroboto sijui nayeye alienda kwa babu maana hata haondokiBi kiroboto?hivi bado tu hajafa? Mbona niliota hivyo?
Inasikitisha kwa kuwa inaashiria maisha halisi ya watanzania...wamejawa na MATATIZO kibao ila wakuu wetu hawaoni....Tajiri na mwanasiasa kuuona ufalme wa Mbingu ni kazi sana.Maskini, picha inasikitisha hii.
Sio utani mkuu ndo maisha halisi ya watz na viongozi waoUtani huu, khaa!!
Ye ale tu lamkini kumbuka jasho la mtu haliliwi bure Mungu wetu atatusaidia kulipakula mama kulaa
hivi ana nywele huyu mwanamke?
kula mama kulaa
mla huliwa lakini ajue..mda wake utaisha tu
anaweza kuliwa hadi ule mtandao wa watu!:hat: