Sakata la mzize na wakala wake Jasmine

Sakata la mzize na wakala wake Jasmine

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
6,132
Reaction score
10,514
Katika dunia ya sasa ambapo teknolojia imeshika hatamu, heshima na unyenyekevu vimebaki kuwa silaha za thamani kubwa kuliko hata mali au umaarufu.

Watu duniani wapo na file lako ukijichanganya kinakuramba mapema sana.
 
Huyu mzanzibari kaishi ulaya, kakaa bongo, kakaa na kuolewa na wakongo kaharibika kabisa kwenye upande wa maadili ya wazanzibari.
 
Katika dunia ya sasa ambapo teknolojia imeshika hatamu, heshima na unyenyekevu vimebaki kuwa silaha za thamani kubwa kuliko hata mali au umaarufu.
View attachment 3440272
Watu duniani wapo na file lako ukijichanganya kinakuramba mapema sana.
Hapo kuna shida gani?
Asiende kwenye starehe?
 
S
Katika dunia ya sasa ambapo teknolojia imeshika hatamu, heshima na unyenyekevu vimebaki kuwa silaha za thamani kubwa kuliko hata mali au umaarufu.
View attachment 3440272
Watu duniani wapo na file lako ukijichanganya kinakuramba mapema sana.
Sasa hapo tatizo nini?.....mbona inajulikana kuwa alimenta fally ipupa bongo
 
Wabongo bwana Sasa hapa shida nini ,huyo dada ni mjanja anatengeneza fedha sisi tunachongoa midomo tu.
 
Wabongo bwana Sasa hapa shida nini ,huyo dada ni mjanja anatengeneza fedha sisi tunachongoa midomo tu.
Waache mkuu waendelee kupiga soga huku wengine wakipiga pesa...si unaona watu wanakusanya bilioni 86 Kwa siku Moja ..yeye anakusanya umbea
 
Back
Top Bottom