Unless mikataba yenyewe inakataza kuwekwa hadharani. Mtanange huo.Hili la kuweka mikataba yote hadharani muhimu sana maana litawaweka MACCM mahali pabaya sana. Rasilimali za nchi ni za Watanzania wote kwanini mikataba yake iwe siri kubwa kwa Watanzania? Kuna kipi ndani ya mikataba hiyo kinachowaogopesha mpaka hawataki tuzijue details husika?