Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Hii ndio tweet ya Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani:
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amuagiza IGP Simon Sirro kuwaondoa kazini Kaimu Kamanda wa Polisi na Mkuu wa Operesheni mkoani Kigoma.
Waziri huyo pia ameagiza kuondolewa Mkuu wa Polisi wa wilaya ya Uvinza, Mkuu wa Intelijensia Wilaya na Askari wote wa kituo cha Polisi Mpeta na Nguruka.
Asema hayo leo Novemba 11 akiwa wilayani Uvinza mkoani humo zilipotokea vurugu baina ya Polisi na Wananchi wa jamii ya Wanyantuzu na kusababisha vifo.
Mwishoni mwa Oktoba kuliliripotiwa mapigano katika wilaya hiyo ambayo chanzo chake kilielezwa ni mgogoro wa ardhi uliodumu kwa muda mrefu.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amuagiza IGP Simon Sirro kuwaondoa kazini Kaimu Kamanda wa Polisi na Mkuu wa Operesheni mkoani Kigoma.
Waziri huyo pia ameagiza kuondolewa Mkuu wa Polisi wa wilaya ya Uvinza, Mkuu wa Intelijensia Wilaya na Askari wote wa kituo cha Polisi Mpeta na Nguruka.
Asema hayo leo Novemba 11 akiwa wilayani Uvinza mkoani humo zilipotokea vurugu baina ya Polisi na Wananchi wa jamii ya Wanyantuzu na kusababisha vifo.
Mwishoni mwa Oktoba kuliliripotiwa mapigano katika wilaya hiyo ambayo chanzo chake kilielezwa ni mgogoro wa ardhi uliodumu kwa muda mrefu.