Sakata la makontena 349: Tajiri wa makontena abainika, amtupia lawama wakala wake

Magazetini

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
588
1,698
attachment.php


Chanzo: Raia Mwema
 

Attachments

  • Pic.jpg
    Pic.jpg
    144.2 KB · Views: 14,718
Wakuu,
Tuache woga amba kwa hakika hauwezi kutusaisdia kwa kufanyakile wazungu wanasema" name and Shame". sielewi ni kwanini naanisha uzi wenye kichwa kinachokuwa tofaui na taarifa ilivyo. Tutaje ayo majina vinginevyo hatuna tofauati na watumishi wa Gazeti la Uhuru
 
Ndiyo maana kukawa na kitu kinaitwa UKAGUZI. huwezi kuona kitu ukakaa kimya tu. lazima kufuatilia na kukagua mpaka ujiridhishe hakuna mchezo mchafu. Utaratibu Wa ukaguzi na ufuatiliaji ukuzingatiwa hakutakuwa na ukwepaji kodi, ujenzi holela, kufanya biashara maeneo yasiyoruhusiwa nk. kila mtumishi atimize wajibu wake
 
Home Shopping Center... vipiiiiiiiiiiiiiiiiii, hata kama wamefunga maduka yao... ila wahusika si wakoooooooooooooo...

Magufuli mbona unawajua wamiliki wa Home Shopping Center....😨
 
Mtanyooka mwaka huu!!,JPM endelea kuwakazia hawa jamaa,walikuwa wameiona TZA kama shamba la bibi:redface::hand:
 
Ama kweli ni raha sana kutupa jiwe kizani
kisha ukaanza kusikia mayowe .....
 
Ndoto za mchana hizi!!. Hivi inaingia akilini kweli wakala akutolee mzigo wako bila kulipa kodi halafu eti wewe ndiye uwe unamfuatilia kutaka kujua unatakiwa kulipa kodi kiasi gani :redface:. Hakuna mfanyabiashara mtakatifu kiasi hicho. Hapo nina uhakika ulicheka mpaka gego la mwisho likaonekana. Acha kujitetea kitoto. Mchongo wote unaujua na ndiyo maana ukakubali kupokea hayo makontena wakati ulijua wazi kuwa hayajalipiwa kodi. Subiri na huyo wakala aje hapa uone mtakavyoaibishana. Eti pesa si tatizo, bali jina langu kuchafuliwa ndiyo tatizo Mfyuuuuuuuuu!!!!! Pa....fu zako. Mtaisoma namba mwaka huu hakuna cha salia Mtume.
 
We tulipe kodi yetu kwanza.hayo mengine utaenda kuyasemea mahakamani.
 
Back
Top Bottom