Sakata la Madiwani Bukoba: Kimenuka tena!

Sakata la Madiwani Bukoba: Kimenuka tena!

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,049
Reaction score
773
Mgogoro mkubwa unaoendelea "kuitafuna" Manispaa ya Bukoba kati ya madiwani wa CCM na meya wao (CCM) leo umeibuka tena baada ya madiwani kadhaa kutoka nje ya kikao wakipinga mojawapo ya hoja wanayodai kuwa hawakuwahi kuipitisha katika vikao vya nyuma lakini imeonekana katika muhtasari wa kikao kilichopita.

Tulikotoka.

Madiwani wamkaanga Meya Bukoba

http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=44682

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ngana-ngumi-baada-ya-kushindwa-kuelewana.html

https://www.jamiiforums.com/habari-...4-ufisadi-wa-meya-wa-bukoba-anatory-aman.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...sho-kususia-bajeti-ya-manispaa-ya-bukoba.html
 
hii nchi daah kulikoni..? maana
ccm wanatuzingua.....
vijana kutumiwa na wanasiasa....harakati za uraisi... na siasa majungu..
issue za maendeleo kushabikiwa kikada zaidi..( siasa na mambo ya chama yameshika kasi...)
jamani hii ndio demokrasia..?

plan B ..nini...?


sasa watu wa bukoba lini wataprogress kwa style hii ya minyukano ya kisiasa...
 
hii nchi daah kulikoni..? maana
ccm wanatuzingua.....
vijana kutumiwa na wanasiasa....harakati za uraisi... na siasa majungu..
issue za maendeleo kushabikiwa kikada zaidi..( siasa na mambo ya chama yameshika kasi...)
jamani hii ndio demokrasia..?

plan B ..nini...?


sasa watu wa bukoba lini wataprogress kwa style hii ya minyukano ya kisiasa...

tuombee jamani!
 
Mbona tatizo hili halikuwahi kujitokeza katika kipindi cha uongozi wa LWAKATARE?Lwakatare jimbo lako linakusubiri huko ngoja hzo hiana ziishe.
 
mwizi huyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
...watu wa bukoba lini wataprogress kwa style hii ya minyukano ya kisiasa...
Vyombo vya kupanga na kuamua juu ya Maendeleo ya Jamii vikiwa chini ya watu walio tegemezi Kiuchumi, na mbaya zaidi wengi wa hao wakawa na maarifa na elimu isiyoendana na wakati ulipo ni janga katika Jamii husika.

Linaloigharimu Bukoba linasababishwa na Wanabukoba. Na suluhisho lake lazima liitoke huko huko kwa Wanabukoba. Ila hizi ni aibu!
 
Naona kama kwa Lema,CCM wameamua kuharibu tena hapo home ..ngoja Rwaka amalize ishu zake tukafanye rennaisance 2014!
 
  • Thanks
Reactions: ESI
Vyombo vya kupanga na kuamua juu ya Maendeleo ya Jamii vikiwa chini ya watu walio tegemezi Kiuchumi, na mbaya zaidi wengi wa hao wakawa na maarifa na elimu isiyoendana na wakati ulipo ni janga katika Jamii husika.

Linaloigharimu Bukoba linasababishwa na Wanabukoba. Na suluhisho lake lazima liitoke huko huko kwa Wanabukoba. Ila hizi ni aibu!
tutarajie nini kama baadhi yao hata huo udiwani wao walinunuliwa na chama na mbunge? lakini ni makosa ya wana bkb wenyewe kupenda pilau,tshirts,khanga,buku 2 na pombe za kienyeji sasa ni majuto!
 
Back
Top Bottom