LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
These guys are not serious!!!
Kukataa rufaa mtu asipewe dhamana ambayo ni haki yake???
Au wanaendelea kutaka kuonyesha kutokujua sheria?
Kwa mwenendo huu inaonekana wao watumishi wa serikali wakishirikiana na jeshi la polisi wako mstari wa mbele kutaka matamshi ya uchochezi wanayo dai yana mdhalilisha Mh Rais yaendelee kusikika kwa kila mtu.
Kwa maana nyingine wao ndio wanao mtukanisha Mh Rais kwa sasa.
Lissu alisha ongea yakapita . Wanatakiwa waache ili upepeo upite.
Hiyo ni simple logic na ni ushauri usio hitaji malipo.
Kukataa rufaa mtu asipewe dhamana ambayo ni haki yake???
Au wanaendelea kutaka kuonyesha kutokujua sheria?
Kwa mwenendo huu inaonekana wao watumishi wa serikali wakishirikiana na jeshi la polisi wako mstari wa mbele kutaka matamshi ya uchochezi wanayo dai yana mdhalilisha Mh Rais yaendelee kusikika kwa kila mtu.
Kwa maana nyingine wao ndio wanao mtukanisha Mh Rais kwa sasa.
Lissu alisha ongea yakapita . Wanatakiwa waache ili upepeo upite.
Hiyo ni simple logic na ni ushauri usio hitaji malipo.