OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,242
- 103,943
Baada ya kamati ya PAC kusoma na kuchambua ripoti ya CAG,aliyekuwa mwenyekiti wa PAC alionyesha masikitiko makubwa jinsi fedha zilivyochotwa.Akiwasilisha report bungeni Zito Kabwe alitaja kwa majina wahusika wa sakata hilo.Walitajwa wahusika wa moja kwa moja na wale ambao walioneka kuwa negligent katika kusimamia taratibu.Mh.Zito aliwagusa pia watu wa Ikulu na akaenda mbali zaidi na kusema katika uchotwaji na utapanyaji wa pesa za Escrow ni kama "NCHI ILI-COLAPSE"!Ajabu Mh.Zito na kamati yake hawakumuhusisha popote rais na sakata hili.Najiuliza kama nchi ili-colapse,je katika mazingira gani mwananchi namba moja asihusike hata indirectly?!Pia Mh.Zito alizidi kusisitiza kuwa pesa zile zilikuwa za umma,kinyume kabisa na hotuba ya rais iliyosisitiza kuwa pesa sio za umma!Je,uliwahi kumsikia Mh.Zitto "akimkemea" na kumtaka rais awajibike??!!!MIMI NA WEWE HATUJUI