Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,214
Imeelezwa kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mgogoro wa CUF kuchochewa ili kufunika fikra za watu juu ya sakata la Escrow lililo rudi kwa kasi kubwa.
Ni ukweli kuwa nchi yetu kukiwa na jambo lisilo na majibu kinazushwa kitu kuchota mawazo ya watu na kusahaulisha jambo la msingi.
Jee tukifikirisha akili zetu hili laweza kuwa kweli?
Source; magazeti ya leo
Ni ukweli kuwa nchi yetu kukiwa na jambo lisilo na majibu kinazushwa kitu kuchota mawazo ya watu na kusahaulisha jambo la msingi.
Jee tukifikirisha akili zetu hili laweza kuwa kweli?
Source; magazeti ya leo