Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,017
- 74,669
- Thread starter
- #21
Kweli mkuu, fikra zetu zimejikita zaidi kuwa serikali inataka Ukawa ikose nguvu na Zanzibar ipotee. Lakini mbinu za maswala nayo ya long term plan yanaenda kimya kimya kwani hayana haraka.Niliwahi leta uzi hapa JF nikijaribu kutahadharisha watu kwa kusema hili sakata la CUF kuibuliwa kipindi hiki lengo lake ni kuondoa attention ya watu kwenye sakata la Escrow ila mada yangu iliunganishwa.
JF tunajihujumu wenyewe kwani ile mada ingeachwa mtandao huu ndio ungekuwa wa kwanza kutahadharisha watu.
Hata hivyo nilikuja kuirudia tena mada hiyo na ikaachwa:
Hii ni moja ya agenda iliyo nyuma ya kuibuka upya kwa mgogoro wa CUF kipindi hiki
Why now mpaka fujo, ulinzi wa polisi kwa Lipumba, Msajili kuingia mzima mzima katika suala ambalo ni dogo kabisa kutatulika ndani ya chama na matamshi mengi?
Hii chenga ya mwili, mpira anao IPTL gizani goli likifungwa na refa (msajili) akiondoka uwanjani ndio tutastuka