Sakata la Clouds media lina baraka?

Dumelo

Senior Member
Apr 23, 2015
139
235
Nimejikuta nawaza mbali sana, kama Mh Rais ambaye alikua kila mara akipiga simu CloudsTv na kupongeza mara kwa mara, baada ya tukio la uvamizi, mpaka sasa sijaona Mkuu akipiga simu hata kutoa pole kwa kilichotokea.

Je, ni kweli haoni au ameziba masikio kwamba hili ni tukio la kawaida kabisa? Je, ni kweli kwamba mkuu ndo aliyemtuma Bw mdogo, kufanya alichokifanya? Ninabaki na maswali mengi sana yasiyokua na majibu.

Hata hili la kuhojiwa na Tume ya Nape, nilijua tu kwamba itakua ngumu sana kutoa Ushirikiano kwa kibuli na kile kilichojificha nyuma ya aliyemtuma.
 
Is it possible to cross the river between while things fall apart? No longer at ease

C7fuIp2WsAA7B6I.jpg
 
Nimejikuta nawaza mbali sana, kama Mh Rais ambaye alikua kila mara akipiga simu CloudsTv na kupongeza mara kwa mara, baada ya tukio la uvamizi, mpaka sasa sijaona Mkuu akipiga simu hata kutoa pole kwa kilichotokea.

Je, ni kweli haoni au ameziba masikio kwamba hili ni tukio la kawaida kabisa? Je, ni kweli kwamba mkuu ndo aliyemtuma Bw mdogo, kufanya alichokifanya? Ninabaki na maswali mengi sana yasiyokua na majibu.

Hata hili la kuhojiwa na Tume ya Nape, nilijua tu kwamba itakua ngumu sana kutoa Ushirikiano kwa kibuli na kile kilichojificha nyuma ya aliyemtuma.

Inaonekana Ngosha mkubwa ndio director wa hii sinema nzima.
 
Jmani kuweni wapole, atapiga simu tu, kwani si mmeambiwa kuwa watangazaji wa shiwaladu wamepewa mapumziko ya muda, wakirudi kwenye kipindi mzee atawapigia kuwasalimu kwamaana kasema yeyey anasikiliza shiwaladu pekee.
 
Back
Top Bottom