SAKATA la Bombadier: Tundu Lissu ni mmoja wa samaki wadogo. Atutajie zile kubwa

shige2

JF-Expert Member
Oct 11, 2016
8,106
3,967
Wana JF. Habari za kukamatwa kwa ndege yetu ya Bombadier nchini Canada kutokana na deni la STIRLING CIVIL ENGINEEING LTD limetuwacha wengine wetu kufedheheka na kutuumiza kama Watanzania waipendao nchi yao.
Hasa ikizingatiwa kuwa order imetolewa kushika/attach mali za serikali ya Tanzania zilizoko,
Canada.
Ufaransa,
Uholanzi,
Ubelgiji,
Uingereza na
Uganda ili kulipia deni hilo.
SWALI? Why now?/Kwa nini litokee kwenye AWAMU ya TANO ya rais Magufuli?
Probably your GUESS could be as good as MINE!!!!!!!!!

INASIKITISHA pia kuona kuwa kuna baadhi ya Watanzania wasio na UZALENDO
WAKIFURAHIA sana jambo hili.
Nashindwa nitawaitaje.Watu kama hawa ni WASALITI na kuna kifungu cha sheria ni lazima nao washughulikiwe.

Nirudi kwenye point yangu..
MALI za Tanzania ZISINGEJULIKANA bila ya VIGOGO fulani wanaojua kabisa ni NINI na WAPI Tanzania wana MALI.

Ukweli ni kuwa si muda mrefu uliopita tangu wengine WAMEKUWA huko Canada juzijuzi na wanajijua!
Punde tu baada ya hay ndo haya mambo yakaanza.

Swali langu ni,
Je kuwako kwao huko Canada ilikuwa ni
COINCIDENCE, au
Being in a WRONG place at a WRONG time.
Ama by DEFAULT?

Hii ni kusema Rais Magufuli ni lazima awe MAKINI.
Tundu Lissu anatumika tu kama DECOY/KIFUMBA macho ili tufocus kwake sana na tusahau WACHEZAJI WAKUU wa GAME hii(....sic........)
Ambao MCHANA wanamsifu magufuli kwa sauti ya juu na ikifika USIKU wanapanga namna ya KUHUJUMU JUHUDI zake za KUIENDELEZA Tanzania.

Watu hawa wana
WIVU,
CHUKI na kila ZURI analotaka kulifanya kwa ajili ya kuigeuza Tanzania.

Magufuli ni LAZIMA a FOCUS katika KUWATAMBUA hasa hawa ni AKINA nani walio NYUMA ya TUNDU LISSU.

Na USHAHIDI madhubuti UKIWAGUSA. ASISITE KUWAANIKA hadharani kama WALIVYOTUANIKA sisi. Na kutupa AIBU ambayo hatukustahili.

Hata hivyo naamini Hili litapita na ndege zetu zitakuja na wenye chuki na nchi hii basi ni LAZIMA wajue KUVUNJIKA kwa JEMBE si MWISHO wa UKULIMA.
Ndoto zetu zitatimia WEPENDE WASIPENDE!
 
INASIKITISHA pia kuona kuwa kuna baadhi ya Watanzania wasio na UZALENDO
WAKIFURAHIA sana jambo hili. Nashindwa nitawaitaje.Watu kama hawa ni WASALITI na kuna kifungu cha sheria ni lazima nao washughulikiwe.

Nirudi kwenye point yangu..
MALI za Tanzania ZISINGEJULIKANA bila ya VIGOGO fulani wanaojua kabisa ni NINI na WAPI Tanzania wana MALI.

Ukweli ni kuwa si muda mrefu uliop wengi WAMEKUWA huko Canada juzijuzi na wanajijua!
Baada na hapo ndo haya mambo yakaanza.

sijui uzalendo unaudefine vipi ndugu. nidhanivyo ni kuwa uzalendo ni kuendesha mambo yahusuyo nchi yako kwa haki, uwajibikaji, uwazi na kwa kuzingatia matakwa ya katiba na sheria. sasa nani huyo aliyekiuka kati ya haya?

Kwenye hili la ndege tukubali kuwa hatukuwa makini kwenye kushughulikia mambo yetu. mfumo unahitaji kuwa habari ya liabilities zote tulizo nazo ndani na nje ya nchi na lazime kuwe na chombo kinachosimamia hilo na kujua faida na madhara yake yote. hili hatukua vizuri sana hata wapinzani wanatumia huu mwanya kutuvuruga. ila tukumbuke upinzani wa nchi yoyote huanzishiwa hoja na tawala zilizo madarakani kwa kukosea. upinzani hauwezi kuanzisha hoja mpya kabisa kutoka na ukweli kuwa hauna mamlaka ya kuendesha serikali.

Tunachotakiwa kufanya ni kutamani serikali yetu ifanye mambo yake kwa kutumia vigezo hivyo hapo juu yaani kuendesha mambo yahusuyo nchi kwa haki, uwajibikaji, uwazi na kwa kuzingatia matakwa ya katiba na sheria. ukijikwaa toa statement kuwa umekosea na hapo utajenga kuaminiwa na wananchi wote.

sasa hivi wewe unapendekeza watafutwe waliofanya hiki na kile washughulikiwe. hii haitasaidia sana zaidi ya kuwanyamazisha na kupata mwanya wa kuendelea na matatizo yale yale yaliyokufikisha hapa. tena tushukuru upinzani unayapoint out haya mambo maana tungeendelea kudhani tunaenda vizuri kumbe tunaharibikiwa.

tuwashauri viongozi wetu wawe weledi, wawajibikaji na wawazi. hili la ndege kushikwa yaonekana hakuna aliyekuwa analijua mpaka lilipoibuka baada stirling kufanya yake.

Mimi binafsi namwombea Mtukufu Rais afanikiwe katika kugundua madhaifu ya serikali yake ili asaidie kuleta maendeleo kwa watanzania na kushughulikia matatizo madogo madogo ambayo si tundu lissu bali ni madhaifu yanayompa TL kusema.
 
Uzalendo..... hili neno lina maana kubwa sana. Wengi wanaitumia hovyo hovyo hasa pale wanapokosa majibu ya maswali magumu. Lissu alichosema ni historia, kama kuna mwenye historia ya tofauti, aiseme. We should focus on issues, not people; Ukweli haupigiwi kura, hata usipoupenda, haubadiliki.
 
Wana JF. Habari za kukamatwa kwa ndege yetu ya Bombadier nchini Canada kutokana na deni la STIRLING CIVIL ENGINEEING LTD limetuwacha wengine wetu kufedheheka na kutuumiza kama Watanzania waipendao nchi yao.
Hasa ikizingatiwa kuwa order imetolewa kushika/attach mali za serikali ya Tanzania zilizoko,
Canada.
Ufaransa,
Uholanzi,
Ubelgiji,
Uingereza na
Uganda ili kulipia deni hilo.
SWALI? Why now?/Kwa nini litokee kwenye AWAMU ya TANO ya rais Magufuli?
Probably your GUESS could be as good as MINE!!!!!!!!!

INASIKITISHA pia kuona kuwa kuna baadhi ya Watanzania wasio na UZALENDO
WAKIFURAHIA sana jambo hili. Nashindwa nitawaitaje.Watu kama hawa ni WASALITI na kuna kifungu cha sheria ni lazima nao washughulikiwe.

Nirudi kwenye point yangu..
MALI za Tanzania ZISINGEJULIKANA bila ya VIGOGO fulani wanaojua kabisa ni NINI na WAPI Tanzania wana MALI.

Ukweli ni kuwa si muda mrefu uliop wengi WAMEKUWA huko Canada juzijuzi na wanajijua!
Baada na hapo ndo haya mambo yakaanza.

Swali langu ni,
Je kuwako kwao huko Canada ilikuwa ni
COINCIDENCE, au
Being in a WRONG place at a WRONG time.
Ama by DEFAULT?

Hii ni kusema Rais Magufuli ni lazima awe MAKINI.
Tundu Lissu anatumika tu kama DECOY/KIFUMBA macho ili tufocus kwake sana na tusahau WACHEZAJI WAKUU wa GAME hii(....sic........)
Ambao MCHANA wanamsifu magufuli kwa sauti ya juu na ikifika USIKU wanapanga namna ya KUHUJUMU JUHUDI zake za KUIENDELEZA Tanzania.

Watu hawa wana
WIVU,
CHUKI na kila ZURI analotaka kulifanya kwa ajili ya kuigeuza Tanzania.

Magufuli ni LAZIMA a FOCUS katika KUWATAMBUA hasa hawa ni AKINA nani walio NYUMA ya TUNDU LISSU.

Na USHAHIDI madhubuti UKIWAGUSA. ASISITE KUWAANIKA hadharani kama WALIVYOTUANIKA sisi. Na kutupa AIBU ambayo hatukustahili.

Hata hivyo naamini Hili litapita na ndege zetu zitakuja na wenye chuki na nchi hii basi ni LAZIMA wajue KUVUNJIKA kwa JEMBE si MWISHO wa UKULIMA.
Ndoto zetu zitatimia WEPENDE WASIPENDE!

Wewe mtu sijui umerogwa?, badala ya kumshukuru lissu ndiyo kwanza unalaumu, ww inawezekana ni miongoni mwa yale majizi
 
Wabongo bwana, eti MTU akihoji utendaji wa serikali na maamuzi yake ya kukurupuka, na kujaribu kuonyesha hasara nchi hii imeipata, zaidi akiwatanabahisha wanasheria watende kwa weledi katika uingiaji wa mikataba na kuishauri serikali ipasavyo inapotaka kuvunja mkataba, badala ya kuhanikizwa na wanasiasa.


Leo MTU huyo anaitwa si mzalendo. Je uzalendo ni kupiga vigelegele kwa kila serikali inachokifanya, pasi na kuishauri, kukosoa au kuonya? Wengi tunakumbuka mikataba ya madini inayopigiwa kelele kwa sasa huko nyuma ulipokuwa ukihoji majibu yake yalikuwa kama haya. Ooh! Wavivu wa kufikiri, ooh wawekezaji wanatumia mitaji mikubwa tuwalinde.

Ooh tunajenga mazingira mazuri ya kuvutia wawekezaji na tusipofanya hivyo wataenda nchi zingine, hivyo Rais wetu ( BWM) anahitaji kuungwa mkono na mguu sasa yako wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubishi, kiburi, majivuno na ubabe ndio unaotufikisha hapa tulipo kwa sasa...Huyo unayempa sifa ya uzalendo hataki mabadiliko wala ushauri.Mi naona wanaoibua hizo kashfa hao ndio wazalendo ila nyie mnaopambana kuzificha ndio mnaotutia aibu.Kasome tena maana ya neno mzalendo.
 
Wana JF. Habari za kukamatwa kwa ndege yetu ya Bombadier nchini Canada kutokana na deni la STIRLING CIVIL ENGINEEING LTD limetuwacha wengine wetu kufedheheka na kutuumiza kama Watanzania waipendao nchi yao.
Hasa ikizingatiwa kuwa order imetolewa kushika/attach mali za serikali ya Tanzania zilizoko,
Canada.
Ufaransa,
Uholanzi,
Ubelgiji,
Uingereza na
Uganda ili kulipia deni hilo.
SWALI? Why now?/Kwa nini litokee kwenye AWAMU ya TANO ya rais Magufuli?
Probably your GUESS could be as good as MINE!!!!!!!!!

INASIKITISHA pia kuona kuwa kuna baadhi ya Watanzania wasio na UZALENDO
WAKIFURAHIA sana jambo hili. Nashindwa nitawaitaje.Watu kama hawa ni WASALITI na kuna kifungu cha sheria ni lazima nao washughulikiwe.

Nirudi kwenye point yangu..
MALI za Tanzania ZISINGEJULIKANA bila ya VIGOGO fulani wanaojua kabisa ni NINI na WAPI Tanzania wana MALI.

Ukweli ni kuwa si muda mrefu uliop wengi WAMEKUWA huko Canada juzijuzi na wanajijua!
Baada na hapo ndo haya mambo yakaanza.

Swali langu ni,
Je kuwako kwao huko Canada ilikuwa ni
COINCIDENCE, au
Being in a WRONG place at a WRONG time.
Ama by DEFAULT?

Hii ni kusema Rais Magufuli ni lazima awe MAKINI.
Tundu Lissu anatumika tu kama DECOY/KIFUMBA macho ili tufocus kwake sana na tusahau WACHEZAJI WAKUU wa GAME hii(....sic........)
Ambao MCHANA wanamsifu magufuli kwa sauti ya juu na ikifika USIKU wanapanga namna ya KUHUJUMU JUHUDI zake za KUIENDELEZA Tanzania.

Watu hawa wana
WIVU,
CHUKI na kila ZURI analotaka kulifanya kwa ajili ya kuigeuza Tanzania.

Magufuli ni LAZIMA a FOCUS katika KUWATAMBUA hasa hawa ni AKINA nani walio NYUMA ya TUNDU LISSU.

Na USHAHIDI madhubuti UKIWAGUSA. ASISITE KUWAANIKA hadharani kama WALIVYOTUANIKA sisi. Na kutupa AIBU ambayo hatukustahili.

Hata hivyo naamini Hili litapita na ndege zetu zitakuja na wenye chuki na nchi hii basi ni LAZIMA wajue KUVUNJIKA kwa JEMBE si MWISHO wa UKULIMA.
Ndoto zetu zitatimia WEPENDE WASIPENDE!

Uzalendo/Patriotism ni:

 
Back
Top Bottom