Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Gazeti la mwananchi la leo linaripoti kuwa Jeshi la Polisi nchini limeomba msaada kutoka kwa wananchi wenye taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa Ben Saanane.
Binafsi nalipongeza Jeshi la Polisi kwa hatua hii hata hivyo nina swali lifuatalo kwa Jeshi hili.
Kwakuwa Tundu Lissu alitoa namba ya simu ya mtu aliemtumia Ben ujumbe wa vitisho,ni kwanini basi Jeshi la Polisi lisitafute details za mmiliki wa namba hiyo ya simu kutoka kampuni husika ya simu na kisha kuzitangaza taarifa hizo kwenye vyombo vya habari ili wananchi wasaidie upelelezi wa sakati hili?
Ushauri kwa Jeshi la Polisi na chama chake cha CHADEMA kuhusiana na kupotea kwa Ben Saanane.
Ili kusaidi upelelezi/kupatikana kwa ndugu yetu bwana Ben Saanane, nazishauri taasisi hizi mbili hasa Jeshi la Polisi litangaze zawadi nono ya fedha taslimu kwa mtu yeyote mwenye taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa ndugu yetu huyu.
Nashauri hivi kwasababu jambo hili kwa sasa limeshakuwa na public interest hivyo ni bora likapewa uzito unaostahili.
Ni ushauri tu.
Binafsi nalipongeza Jeshi la Polisi kwa hatua hii hata hivyo nina swali lifuatalo kwa Jeshi hili.
Kwakuwa Tundu Lissu alitoa namba ya simu ya mtu aliemtumia Ben ujumbe wa vitisho,ni kwanini basi Jeshi la Polisi lisitafute details za mmiliki wa namba hiyo ya simu kutoka kampuni husika ya simu na kisha kuzitangaza taarifa hizo kwenye vyombo vya habari ili wananchi wasaidie upelelezi wa sakati hili?
Ushauri kwa Jeshi la Polisi na chama chake cha CHADEMA kuhusiana na kupotea kwa Ben Saanane.
Ili kusaidi upelelezi/kupatikana kwa ndugu yetu bwana Ben Saanane, nazishauri taasisi hizi mbili hasa Jeshi la Polisi litangaze zawadi nono ya fedha taslimu kwa mtu yeyote mwenye taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa ndugu yetu huyu.
Nashauri hivi kwasababu jambo hili kwa sasa limeshakuwa na public interest hivyo ni bora likapewa uzito unaostahili.
Ni ushauri tu.