Sailfish OS ingepata msukumo kwenye mobile phones

Sailfish OS ingepata msukumo kwenye mobile phones

ymollel

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
3,095
Reaction score
2,294
upload_2017-3-29_21-55-50.png


upload_2017-3-29_21-56-57.png





jolla-c-1.jpg



Jolla C ni moja ya simu zenye OS hii ya Sailfish ambayo endapo project hii ingeshika soko basi tungekuwa na chaguo la ziada pale unapoenda kununua Simu basi ungeweza kuchagua smartphone ya Sailfish badala ya Android au windows au hizo zingine.


jolla tablet
upload_2017-3-29_22-5-28.png



onePlus X


Turing phone
upload_2017-3-29_22-6-50.png



Ambacho kimenifurahisha zaidi ni hii habari , kwamba SailFish wameingia ubia na SONY na wanategemea kutoa simu ya SONY XPERIA X itakayokuja na SailFish OS.

upload_2017-3-29_22-14-55.png




Mobile World Congress 2017, Barcelona, February 27, 2017 - Jolla Ltd., the
developer of open operating system, Sailfish OS, today announced support for
Sony’s Open Devices Program, to provide a leading hardware platform for Sailfish
OS licensing customers and the Sailfish community.


Jolla is aiming to release an official version of its Sailfish OS for a range of Sony Mobile’s
Xperia devices - the first project is a Sailfish OS powered Xperia X, which is on show at
Jolla’s stand at Mobile World Congress 2017 (stand 5H19).



Hivyo pengine tukae mkao wa kula......
 

Attachments

  • upload_2017-3-29_21-57-25.png
    upload_2017-3-29_21-57-25.png
    16.5 KB · Views: 39
Mkuu kwa ubora os ya Sailfish, Windows, Android n.k yenyewe inarange wapi na wapi? Na hapo tukiwa tumeviangalia vitu gani na gani?
 
Kwa jinsi nnavyopenda kuwa perculiar. Ntainunua hiyo simu.
Ila napenda zaidi kama Nokia wangeitumia hiyo OS na sio huu uchafu wa Android.
 
Ivi na hii imetengenezwa kwenye java kama android??
ni linux mkuu, debian kamzaa maemo (os ya nokia) na fedora akamzaa moblin au mobile linux (os ya linux na intel) kwa pamoja wakatengeneza meego

meego ilivyokufa kukatokea kitu kinaitwa mer au kirefu meego reconstructed, sailfish imetengenezwa na core ya hio mer,

ila application zake wanadevelop na QT sana sana pia wanatumia lugha nyengine kama c++, python na hata java japo sio native.
 
Kwa jinsi nnavyopenda kuwa perculiar. Ntainunua hiyo simu.
Ila napenda zaidi kama Nokia wangeitumia hiyo OS na sio huu uchafu wa Android.
mkuu kwenye hii Os kuna apps nyingi kama kwenye android,maana huku kwennye window phone tupo wachache kutokana na uhaba wa apps na pia kama sailfish ina mautundu kama ya android basi sio mbaya
 
mkuu kwenye hii Os kuna apps nyingi kama kwenye android,maana huku kwennye window phone tupo wachache kutokana na uhaba wa apps na pia kama sailfish ina mautundu kama ya android basi sio mbaya
Kama ni sawa na android basi naikscha. Natumia windows na ios.
 
ni linux mkuu, debian kamzaa maemo (os ya nokia) na fedora akamzaa moblin au mobile linux (os ya linux na intel) kwa pamoja wakatengeneza meego

meego ilivyokufa kukatokea kitu kinaitwa mer au kirefu meego reconstructed, sailfish imetengenezwa na core ya hio mer,

ila application zake wanadevelop na QT sana sana pia wanatumia lugha nyengine kama c++, python na hata java japo sio native.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] ukisikia kuambulia patupu ndio hapa
Hakuna nilichoelewa
Ila kudos mkuu[emoji109] [emoji109] uko deep sana kwenye hayo makitu
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] ukisikia kuambulia patupu ndio hapa
Hakuna nilichoelewa
Ila kudos mkuu[emoji109] [emoji109] uko deep sana kwenye hayo makitu
ni majina tu hayo mkuu hakuna hata utaalamu,

juma na asha wakamzaa mwajuma, mwajuma nae kaolewa na john wakamzaa kirikuu.

hizo ni os za zamani ambazo zimepelekea kutokea os nyengine hii graph inaweza kukufafanulia vizuri
Tizen-Maemo-Moblin-MeeGo-Mer-Nemo-Mobile-Sailfish-OS-Limo-Bada.png


hata tizen ambayo ipo kwenye baadhi ya simu za samsung na tv zake imetoka humu humu
 
ni linux mkuu, debian kamzaa maemo (os ya nokia) na fedora akamzaa moblin au mobile linux (os ya linux na intel) kwa pamoja wakatengeneza meego

meego ilivyokufa kukatokea kitu kinaitwa mer au kirefu meego reconstructed, sailfish imetengenezwa na core ya hio mer,

ila application zake wanadevelop na QT sana sana pia wanatumia lugha nyengine kama c++, python na hata java japo sio native.
QT ni editor na compiler. Sijawahi kuitumia lakini aidha itakuwa ni java editor.
 
QT ni editor na compiler. Sijawahi kuitumia lakini aidha itakuwa ni java editor.
QT ni framework iko based on C++ awali ilikua inamilikiwa na Nokia...Ni maarufu sana katika kutengeneza GUI applications zikiwepo hata baadhi ya Linux Desktop environments kama ilivo pia WxWidgets

QT ni cross platform na wana njia za kuandika mpaka Mobile apps.

Unaweza kutumia IDE yao QT creator ila pia wana intergration katika Visual Studio
Sidhani kama inahusiana na Java
 
Mkuu kwa ubora os ya Sailfish, Windows, Android n.k yenyewe inarange wapi na wapi? Na hapo tukiwa tumeviangalia vitu gani na gani?
Vitu vya muhimu ni kama security, user interface nzuri, upatikanaji wa apps, support( i.e updates).

Kwa uhalisia kwa hii Os kutakuwa na uhaba wa apps. Ila inaweza kuwa secure na pia utafurahia kuwa Unique kati ya walio wengi
 
ni majina tu hayo mkuu hakuna hata utaalamu,

juma na asha wakamzaa mwajuma, mwajuma nae kaolewa na john wakamzaa kirikuu.

hizo ni os za zamani ambazo zimepelekea kutokea os nyengine hii graph inaweza kukufafanulia vizuri
Tizen-Maemo-Moblin-MeeGo-Mer-Nemo-Mobile-Sailfish-OS-Limo-Bada.png


hata tizen ambayo ipo kwenye baadhi ya simu za samsung na tv zake imetoka humu humu
Hivi chief kwani java nayo si os, embu nifafanulie mana kuna simu za zamani nakumbuka zilikuwaga zinaandikwa "Java powered"
 
Hivi chief kwani java nayo si os, embu nifafanulie mana kuna simu za zamani nakumbuka zilikuwaga zinaandikwa "Java powered"
Java ni lugha inayotumika kuandika programs. Java inaweza kutengeneza program na ukaifanya ikawa EXECUTABLE na ikafanya kazi kwenye windows pc.

Pia kwa simu za java kama vile vi nokia vilikuwa vinaRun program zilizotengenezwa na Java lakini zikaPakiwa katika fungashio la .JAD au .JAR

Ili program ya java iweze kufanya kazi katika kifaa ni lazima kifaa hicho kiwe na JAVA RUNTIME ENVIRONMENT . yaani mazingiza yanayowezesha java kufanya kazi.
 
Back
Top Bottom