Sasa nimekuwa nasafiri uarabuni nikipata shida nyingi ya lugha. Najua kiswahili na kiarabu vinafanana kwa hivyo naomba watu nisaidie maneno yaliyo takriban yaleyale kwa hizi lugha mbili...
Maanake naona itakuwa rahisi zaidi nikumbushe hayo maneno kwa kiarabu. Wasemaji wa kiarabu nisaidieni!
Maanake naona itakuwa rahisi zaidi nikumbushe hayo maneno kwa kiarabu. Wasemaji wa kiarabu nisaidieni!