Saidi kubenea ashaingia bungeni teyari,tena saidi kubenea atashinda kwa kishindo kikubwa sana,utafiti. Utafiti wa kitaa unaonyesha ndugu kubenea ashaingia bungeni kabla hata ya kura zenyewe
Viroba vinafanya kazi
Kwa akili za darasa la saba ulizonazo kama kubenea mwenyewe alivyoishia hilo hilo la saba basi ni kweli keshaingia
Mamako ameishia darasa la ngapi
Saidi kubenea ashaingia bungeni teyari,tena saidi kubenea atashinda kwa kishindo kikubwa sana,utafiti. Utafiti wa kitaa unaonyesha ndugu kubenea ashaingia bungeni kabla hata ya kura zenyewe
Mkuu unazungumzia bunge lipi la machizi au la kibosho.Saidi kubenea ashaingia bungeni teyari,tena saidi kubenea atashinda kwa kishindo kikubwa sana,utafiti. Utafiti wa kitaa unaonyesha ndugu kubenea ashaingia bungeni kabla hata ya kura zenyewe
Mkuu tangu mzee akatwe umekuwa kama uechanganyikiwa vile kwani kubenea atashinda kwa kipi mkuu uandishi wa uzandiki ndiyo utampa ushindi?Nakubaliana na wewe..... Masaburi anapoteza muda wake...
Hiyo siyo hoja hapa hoja ni kwamba anaakili gani ya kuwaletea maendeleo watu wake.Saidi kubenea anakubalika sana na wananchi wa hali ya chini na ndio wapiga kura wengi