GE2025 Said Soud: Nikiwa Rais Vijana wataoa kwa pesa ya serikali

GE2025 Said Soud: Nikiwa Rais Vijana wataoa kwa pesa ya serikali

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Alliance for Africa Farmers Party (AAFP), Said Soud, amesema endapo atapata ridhaa ya Wananchi wa Zanzibar kuwa Rais, atatenga fedha maalum kwa ajili ya kuwapatia Vijana mahari ili waweze kuoa

Soud amesema hayo Agosti 14, 2025 alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari katika ofisi za chama chake zilizopo Mwera nje ya mji wa Zanzibar, wakati akitangaza azma yake ya kugombea Urais kupitia Chama cha Wakulima


 
Hawa ndio washindani sahihi wa daktari samia, same lavel!!.
Hata yale mabilioni mafisadi wamechanga kwa ajili ya kukabiliana nao!
 
Back
Top Bottom