Nafikiri wote tunaweza kujadili utendaji wa IGp aliyepita Said Mwema na huyu wa sasa IGP Mangu, je ni nani anaweza kupigiwa mfano wa utendaji wa kujali taaluma ya polisi, kutatua shida za wananchi na kupunguza matukio ya ujambazi, Trafiki n.k. Nionavyo mimi huyu wa sasa baada tu kuteuliwa alienda ku-print vitabu lukuki vya NOTIFICATION/FAINI na kila trafiki akakabidhia ili jioni alete pesa kiasi kadhaa.