BM X6
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 1,360
- 4,149
Nimekuja kugundua kwenye hii Dunia hutakiwi kuwa mtepe mtepe, usifuatishe kila kitu kilivyopangwa utaishia kuishi kinyonge sana na Dunia ya Sasa inataka watu wakakamavu, walio serious na maisha haswa,
Labda kama umeridhika na maisha unayoishi lakini kama mawazo yako ni Utajiri au kupata pesa za kutosha basi ni lazima utoke Nje ya mfumo kidogo then ukishavuna unarudi ndani ya mfumo.
Ni lazima uvunje sheria ili kupata pesa, mfumo umeundwa ili kukuweka uwe masikini maisha yako yote na Sheria zinatungwa na matajiri ili kupata utajiri zaidi....Sounds wrong, but so right.
Matajiri wengi wamevuna pesa nje ya mfumo, na baada ya Kuvuna wamerudi ndani ya mfumo, Yani ni kama vile wote tunaenda Morogoro lakini foleni ni kubwa vibaya mno so uamuzi ni wako, upite na Service road uwahi kufika au ubaki Main road uchelewe au usifike kabsa
Na kumbuka anaepita Service road Kuna mawili, akutane na Police mbele huko au Asikutane nae kabisa na hata kama akikutana nae atajua jinsi ya kuchezesha then anarudi highway akiwa kashafika Moro
Caution
Kuwa Makini na uvunjaji wa sheria utakaoufanya, Sababu Kuvunja sheria ni rahisi kusema au kufanya lakini swali ni kwamba utaweza kukabiliana na matokeo?
Wakina Messi wanakwepa makodi kwenye ma nchi ya watu na badae wanajua jinsi ya kuchezesha,...hiyo ndio Kuvunja sheria na kukabiliana na matokeo, lakini mwisho wa siku kibunda kiko Bank, lakini pia ukivunja sheria in smart way mbona una peta tu
Nasisitiza tena, kuwa Makini, usichukue hatua za kimihemko mara baada ya kusoma huu Uzi, ni lazima udhamilie kweli kweli
Labda kama umeridhika na maisha unayoishi lakini kama mawazo yako ni Utajiri au kupata pesa za kutosha basi ni lazima utoke Nje ya mfumo kidogo then ukishavuna unarudi ndani ya mfumo.
Ni lazima uvunje sheria ili kupata pesa, mfumo umeundwa ili kukuweka uwe masikini maisha yako yote na Sheria zinatungwa na matajiri ili kupata utajiri zaidi....Sounds wrong, but so right.
Matajiri wengi wamevuna pesa nje ya mfumo, na baada ya Kuvuna wamerudi ndani ya mfumo, Yani ni kama vile wote tunaenda Morogoro lakini foleni ni kubwa vibaya mno so uamuzi ni wako, upite na Service road uwahi kufika au ubaki Main road uchelewe au usifike kabsa
Na kumbuka anaepita Service road Kuna mawili, akutane na Police mbele huko au Asikutane nae kabisa na hata kama akikutana nae atajua jinsi ya kuchezesha then anarudi highway akiwa kashafika Moro
Caution
Kuwa Makini na uvunjaji wa sheria utakaoufanya, Sababu Kuvunja sheria ni rahisi kusema au kufanya lakini swali ni kwamba utaweza kukabiliana na matokeo?
Wakina Messi wanakwepa makodi kwenye ma nchi ya watu na badae wanajua jinsi ya kuchezesha,...hiyo ndio Kuvunja sheria na kukabiliana na matokeo, lakini mwisho wa siku kibunda kiko Bank, lakini pia ukivunja sheria in smart way mbona una peta tu
Nasisitiza tena, kuwa Makini, usichukue hatua za kimihemko mara baada ya kusoma huu Uzi, ni lazima udhamilie kweli kweli