Japo ni rahisi kwa ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko chadema........................! Basi nilikuwa najaribu kujifurahisha tu kwa kupanga hiyo safu yao ya uongozi. Kwa kuwa hivi sasa lema ndio maarufu zaidi ya slaa (kizungumkuti cha arusha) safu itakuwa kama hivi. Rais= lema, waziri mkuu = slaa, biashara na viwanda = mbowe, maliasili na utalii = zitto, fedha = shibuda (no huyu amewanyea hawampi kitu), fedha = mnyika, mambo ya nje = lissu, wameisha duuu! Wizara nyingi zimebakia. Sijui niwaweke wale madiwani kule arusha? Bado wakuu wa mikoa, mabalozi,manaibu waziri. Chadema haina sifa ya kuongoza nchi.
Wewe shetani mkubwa,wakati nchi tunafikiria haja ya kupunguza mzigo wa serikali yenye mawaziri sitini wa ccm wewe unashadidia?
Wakati chadema tukijipanga kupunguza serikali,ili kutumia kilichokidogo wewe unawaza viongozi kugawana madaraka?
Kwa akili hizohizo za kushikiwa ndio maana ccm imekataa rasimu ya katiba,iliyopunguza wabunge wa bunge la muungano kutoka 356 hadi 75 tu,iliyoondoa maDc na Rc wewe ccm inawarudisha kwa lengo lilelile kugawana vyeo ambavyo makada wa ccm huzunguka nchi nzima wakihonga ili kuzikwaa nyadhifa hizo kwa faida ya wachache,
Bado unafikiria hayo?, chadema hatina shida na hilo kaka akii zakuambiwa( lumumba), changanya na zako!!