Tafuta kumbukumbu vizuri Lisu na Lema walitoka TLP ikiitwa NCCR hapo mwanzoni,tena wameambukiza watu roho ya kuhama kama wao.Lissu hajawahi kuwa TLP, umekurupuka.
Tafuta kumbukumbu vizuri Lisu na Lema walitoka TLP ikiitwa NCCR hapo mwanzoni,tena wameambukiza watu roho ya kuhama kama wao.Lissu hajawahi kuwa TLP, umekurupuka.
Msajili ameshashiba ubwabwaMsajili wa vyama vya siasa atengue hiyo kamati kuu, akidi haijatimia, wameteuliwa kinyume cha katiba ya CHAUMA😁.
Sio Chadema tu,baadhi ya waafrika wana shida ya kuabudu watu na kuona hawakosei chochote haswa wakiwapenda,si unaona hata mother anavyoabudiwa.Kuna upuuzi wa ajabu sana na unatia kichefuchefuYaani chadema sijui wapoje, akili zao zote ni lissu, ndiyo safi, lissu, ndiye mwema, lissu ndiye Mkombozi, lissu kumbe mpiga dili tu kwa wazungu!
Wewe ndiye huna kumbukumbu,Lemma ndiye alitoka TLP, Lissu alitokea NCCR MageuziTafuta kumbukumbu vizuri Lisu na Lema walitoka TLP ikiitwa NCCR hapo mwanzoni,tena wameambukiza watu roho ya kuhama kama wao.
Wote kuwepo chadema ni matunda ya kuhama toka kwenye vyama vyao vya awali na kwenda chadema, "" kuhama chama si jambo la ajabu "Wewe ndiye huna kumbukumbu,Lemma ndiye alitoka TLP, Lissu alitokea NCCR Mageuzi
Tuwatakie kila la kheri katika ukombozi wa Nchi. CHAUMA, CDM vyote ni vyama Vya upinzani! Hatuna budi kuwatia moyo katika harakati hizi adhimu.Umechelewa sana. Wameshaweka hapa saa nyingi.
Na yule mlinzi kawa nani? Je waligombea au wameteuliwa? Akidi vipi? Kwahiyo hawa issue yao ilikua madaraka?🤣🤣Safu Mpya Viongozi Wakuu wa CHAUMMA:-
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetangaza safu mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu kwa kile walichoeleza ni kuleta mabadiliko ya kweli nchini:
🔹 Salum Mwalimu – Katibu Mkuu CHAUMMA
🔹 Devotha Minja – Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
🔹 Benson Kigaila – Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
🔹 Mohammed Masoud Rashid – Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
#Enendeni mkavipigane vita!
#ALUTA CONTINUA! View attachment 3339156