Safu mpya ya uongozi CHAUMMA

Safu mpya ya uongozi CHAUMMA

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
21,854
Reaction score
26,091
Safu Mpya Viongozi Wakuu wa CHAUMMA:-

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetangaza safu mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu kwa kile walichoeleza ni kuleta mabadiliko ya kweli nchini:

🔹 Salum Mwalimu – Katibu Mkuu CHAUMMA
🔹 Devotha Minja – Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
🔹 Benson Kigaila – Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
🔹 Mohammed Masoud Rashid – Naibu Katibu Mkuu Zanzibar

#Enendeni mkavipigane vita!

#ALUTA CONTINUA!
IMG_20250519_190211_424.jpg
 
Safu Mpya Viongozi Wakuu wa CHAUMMA:-

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetangaza safu mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu kwa kile walichoeleza ni kuleta mabadiliko ya kweli nchini:

🔹 Salum Mwalimu – Katibu Mkuu CHAUMMA
🔹 Devotha Minja – Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
🔹 Benson Kigaila – Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
🔹 Mohammed Masoud Rashid – Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
#ALUTA CONTINUA! View attachment 3339156
Msajili wa vyama vya siasa atengue hiyo kamati kuu, akidi haijatimia, wameteuliwa kinyume cha katiba ya CHAUMA😁.
 
Yaani chadema sijui wapoje, akili zao zote ni lissu, ndiyo safi, lissu, ndiye mwema, lissu ndiye Mkombozi, lissu kumbe mpiga dili tu kwa wazungu!
 
Safu Mpya Viongozi Wakuu wa CHAUMMA:-

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetangaza safu mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu kwa kile walichoeleza ni kuleta mabadiliko ya kweli nchini:

🔹 Salum Mwalimu – Katibu Mkuu CHAUMMA
🔹 Devotha Minja – Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
🔹 Benson Kigaila – Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
🔹 Mohammed Masoud Rashid – Naibu Katibu Mkuu Zanzibar

#Enendeni mkavipigane vita!

#ALUTA CONTINUA! View attachment 3339156
Kwahiyo waliokuwa kwenye hizo nafasi before nao watahama chama kwenda kutafuta teuzi kwenye vyama vingine
 
😂😂😂 Wakome kabisa, huko ndio hawataonekana ng’ooooo Chama hakina hata Diwani mmoja, CCM furaha tupu
 
Safu Mpya Viongozi Wakuu wa CHAUMMA:-

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetangaza safu mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu kwa kile walichoeleza ni kuleta mabadiliko ya kweli nchini:

🔹 Salum Mwalimu – Katibu Mkuu CHAUMMA
🔹 Devotha Minja – Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
🔹 Benson Kigaila – Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
🔹 Mohammed Masoud Rashid – Naibu Katibu Mkuu Zanzibar

#Enendeni mkavipigane vita!

#ALUTA CONTINUA! View attachment 3339156
Hii ni Futuhi kabisa,yaani huu ndiyo ubunifu wa TISS kuiangamiza Chadema
 
Safu Mpya Viongozi Wakuu wa CHAUMMA:-

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetangaza safu mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu kwa kile walichoeleza ni kuleta mabadiliko ya kweli nchini:

🔹 Salum Mwalimu – Katibu Mkuu CHAUMMA
🔹 Devotha Minja – Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
🔹 Benson Kigaila – Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
🔹 Mohammed Masoud Rashid – Naibu Katibu Mkuu Zanzibar

#Enendeni mkavipigane vita!

#ALUTA CONTINUA! View attachment 3339156
Umechelewa sana. Wameshaweka hapa saa nyingi.
 
Vyama vingi viliingia ili kufurahisha wazungu. Wanasiasa wote ni wanachama tawala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom