Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,091
Safu Mpya Viongozi Wakuu wa CHAUMMA:-
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetangaza safu mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu kwa kile walichoeleza ni kuleta mabadiliko ya kweli nchini:
🔹 Salum Mwalimu – Katibu Mkuu CHAUMMA
🔹 Devotha Minja – Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
🔹 Benson Kigaila – Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
🔹 Mohammed Masoud Rashid – Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
#Enendeni mkavipigane vita!
#ALUTA CONTINUA!
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetangaza safu mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu kwa kile walichoeleza ni kuleta mabadiliko ya kweli nchini:
🔹 Salum Mwalimu – Katibu Mkuu CHAUMMA
🔹 Devotha Minja – Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
🔹 Benson Kigaila – Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
🔹 Mohammed Masoud Rashid – Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
#Enendeni mkavipigane vita!
#ALUTA CONTINUA!