Safisha macho

Safisha macho

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
BwTaJkVIMAAjouC.jpg:large


BwSe43vIUAAqPhZ.jpg:large


BwQMKX-IYAAKxAm.jpg:large


BwPUxsTIMAAe75G.jpg:large


BwOQltBIUAAoSu1.jpg:large


BwNVUxGIAAAFSKN.jpg:large


BwJSzluIYAEfEgl.jpg:large


BwJG_bhIEAE1zKf.jpg:large


BwILwuuIIAA52s0.jpg:large
 
Ila kwetu hakuna barabara za kupita hizo gari...
 
Wabongo watakwambia zinakula mafuta, tushaathirika na vitz!!!
 
Wabongo watakwambia zinakula mafuta, tushaathirika na vitz!!!

Hhahaha, choices are always not the same

Na ndo maana yanatengenezwa kwasababu kuna watu wanayamiliki
 
Mkuu Bulldog, asante, japo ni kusafisha macho tuu, tumeishia kutiana huzuni!.
Kiukweli macho yamesafishika, unanifanya mpaka niichukie ile tuk tuk yangu na kunitia unyonge kulaani umasikini!.

Thanks.

Pasco
 
Hata barabara ikiwa nzuri,wachache sana watakao Mmiliki hizo,gari.Wengi tutaishia kununua migari ya kwendea Vijijini.
 
Dubai asilimia kubwa ya hizo gari zinatumika kama tax. Sijajua kwa nini!
 
Back
Top Bottom