Safisha macho

Safisha macho

Mkuu Bulldog, asante, japo ni kusafisha macho tuu, tumeishia kutiana huzuni!.
Kiukweli macho yamesafishika, unanifanya mpaka niichukie ile tuk tuk yangu na kunitia unyonge kulaani umasikini!.

Thanks.

Pasco

Mkuu tafuta pesa na kuzitumia
 
BuXGebuIAAACucb.jpg:large


BuUYSj3IgAAobZJ.jpg:large

BuTuop3IIAAIPV8.jpg:large


BuSqbYuIcAArCUu.jpg:large


BuR8336IUAE7r9U.jpg:large


BuPOrbOIcAEHzwO.jpg:large


BuOlEA9IUAAkiY5.jpg:large


BuNgz-MIAAAsOHY.jpg:large


BuMzR5DCAAAoGSD.jpg:large


BuKFJzpIcAAbKiw.jpg:large


BuJbbgtIAAMhClf.jpg:large


BuIXPICIcAA_tB0.jpg:large
 
Umepiga hatua, kuna wengine hawana hata baby walker

Unadhani ninayo umbwa dume sina ila ndio ninayoipenda hasa ile model mpya. unajua wengine tunatoka vijijini kweli sasa hilo hao juu litakuwa la watu wa masaki tu hata njiro haliwezi kufika eti
 
Unadhani ninayo umbwa dume sina ila ndio ninayoipenda hasa ile model mpya. unajua wengine tunatoka vijijini kweli sasa hilo hao juu litakuwa la watu wa masaki tu hata njiro haliwezi kufika eti

Komaa tu utapata mkuu
 
Dubai asilimia kubwa ya hizo gari zinatumika kama tax. Sijajua kwa nini!

Teh teh teh watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa dubai wanaenjoy maisha kutokana na akili na kuyatumia maarifa kutumia mafuta waliyojaliwa na Mwenyezi Mungu lakini kwa vile sisi tiopewa kila kitu ambavyo kama tungelitumia akili na maarifa kuvitumia tungeishi kama tupo dunia ya kwanza iliyobaki tukacheze tu vigodoro, bao na kungangaa sharubu
 
Back
Top Bottom