Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,314
Ubarikiwe mkuu,ni muhimu sn kuuzingatia ujumbe,kwani "Aliyejua kuwa kuna dhambi halafu hakuwaambia wenzake atahukumiwa"
Mimi na family yangu tumeshafanya maamuzi mkuu kabla hata ya kampeni kuanza
Hapana_KATIBA ya chenge
Delete ccm kuanzia,DIWANI,MBUNGE,RAIS
Maswali?