Safarini muda huu

Safarini muda huu

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,751
Reaction score
31,078
Wakuu,

Nipo safarini Tabora to Arusha na ile gari inayopatikana katika orodha ya magari yanayoenda kasi sana kwa sasa, Coast line. Kwakweli ni tatizo hii gari ila sina namna, hata Pinda alisema hakuna namna ni kupigwa tu.

Kwa sasa tunaitafuta Singida, tungekuwa tumepita but traffic walizuia gari sehemu kwa muda mrefu. Hofu yangu ni huko mbele kutokana na hali halisi ya mgomo. Nimepata taarifa ya mabasi ya Shaby yalivofanywa huko Mbezi Dar.

Barabara ni nyeupe hakuna mabasi tunayokutana nayo siku zote.
Arushaone,masai dada na WanaJF wa Arusha nahamia kwenu plz.

"Sema Hapana Kwa CCM Hapo October, 2015. Mwambie na mwenzako".
 
Wakuu,
Nipo safarini Tabora to Arusha na ile gari inayopatikana katika orodha ya magari yanayoenda kasi sana kwa sasa, Coast line. Kwakweli ni tatizo hii gari ila sina namna, hata Pinda alisema hakuna namna ni kupigwa tu.

Kwa sasa tunaitafuta Singida, tungekuwa tumepita but traffic walizuia gari sehemu kwa muda mrefu. Hofu yangu ni huko mbele kutokana na hali halisi ya mgomo. Nimepata taarifa ya mabasi ya Shaby yalivofanywa huko Mbezi Dar.

Barabara ni nyeupe hakuna mabasi tunayokutana nayo siku zote.
Arushaone,masai dada na WanaJF wa Arusha nahamia kwenu plz.

"Sema Hapana Kwa CCM Hapo October, 2015. Mwambie na mwenzako".

Huna namna hadi kwenye kufa?
 
tamuuuuu
Safari Njema Na Kumbukeni Tu Kuwa Kwa USALAMA Wenu Mwambieni Dereva Wenu Asiwashushie Kituoni Kwani MNAWEZA Msitoke Salama Na Mkajikuta Mnakaribishwa Huko Arusha Kwa Mkong'oto Kutoka Kwa Waliogoma. Umekumbuka Kubeba Power Bank Lakini?
 
Last edited by a moderator:
Safari Njema Na Kumbukeni Tu Kuwa Kwa USALAMA Wenu Mwambieni Dereva Wenu Asiwashushie Kituoni Kwani MNAWEZA Msitoke Salama Na Mkajikuta Mnakaribishwa Huko Arusha Kwa Mkong'oto Kutoka Kwa Waliogoma. Umekumbuka Kubeba Power Bank Lakini?

Asante kwa ushauri mkuu,tutafanya hivo.Tupo Singida sasa.Kuhusu power bank hizi gari zina cable ni full kuchaji tu.Na hapa mzigo unaingia.
 
Kuhusu kifo hicho kipo tu,ilikuwa ni lazama leo nifike Arusha.
 
Safari njema,ujumbe wako tutaufanyia kazi hapo October
 
Safari njema,ujumbe wako tutaufanyia kazi hapo October

Ubarikiwe mkuu,ni muhimu sn kuuzingatia ujumbe,kwani "Aliyejua kuwa kuna dhambi halafu hakuwaambia wenzake atahukumiwa"
 
tamuuuu nini hiyo
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nikuitie hao wakujuze masaidada Arushaone mnaitwa huku jamaa anaogopa kichapo cha rchuga

Hahahaaa jembe afrika tena waambie nipo Katesh muda huu,najua bado sn.Yani kama masai dada ndo nina usongo naye sn nimpleke Shiva-club weekend!!!! anapajua mambo yake.
Hapa nawaza niende mpaka kwa miss chagga pale mo! moshi babaaangu!
 
Last edited by a moderator:
Wapigie wahsika na toa taarifa ya mwendo kas wa hilo basi
 
Wakuu,

Nipo safarini Tabora to Arusha na ile gari inayopatikana katika orodha ya magari yanayoenda kasi sana kwa sasa, Coast line. Kwakweli ni tatizo hii gari ila sina namna, hata Pinda alisema hakuna namna ni kupigwa tu.

Kwa sasa tunaitafuta Singida, tungekuwa tumepita but traffic walizuia gari sehemu kwa muda mrefu. Hofu yangu ni huko mbele kutokana na hali halisi ya mgomo. Nimepata taarifa ya mabasi ya Shaby yalivofanywa huko Mbezi Dar.

Barabara ni nyeupe hakuna mabasi tunayokutana nayo siku zote.
Arushaone,masai dada na WanaJF wa Arusha nahamia kwenu plz.

"Sema Hapana Kwa CCM Hapo October, 2015. Mwambie na mwenzako".
Mkuu, kwenye thread yako mimi nimependa sana hapo nilipobold.Nitaeneza ujumbe!
 
Wapigie wahsika na toa taarifa ya mwendo kas wa hilo basi

Geee tunakuna nao sn,ila sijui wana ubia na hawa watu sielewi.Hii coast line kwakweli sijui.
 
SHIEKA ni muhimu sn kufanya hivo mkuu.Tena kwa juhudi na maarifa sana.Hii nchi ilipofikishwa ni pabaya,waongoze wengine kabisa.Bado kidogo tutatembezwa uchi.
 
Hahahaaa jembe afrika tena waambie nipo Katesh muda huu,najua bado sn.Yani kama masai dada ndo nina usongo naye sn nimpleke Shiva-club weekend!!!! anapajua mambo yake.
Hapa nawaza niende mpaka kwa miss chagga pale mo! moshi babaaangu!

Hahahaaaaa tamuuuu njoo huku njiro cinemas au milestone.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom