Asante
JF-Expert Member
- Dec 18, 2009
- 2,086
- 1,082
Ndugu, ninategemea kusafiri kikazi kwenda mikoa wa Lindi na Mtwara wiki ijayo.
Naomba msaada wa bus zuri zinazofanya safari za mikoa ya kusini, na hotel nzuri za kulala na bei zake.
Nasikia kuna kipande cha barabara baada ya kuvuka daraja la Mkapa ambacho bado hakijajengwa kwa kiwango cha lami, je kipindi hiki cha mvua panapitika?
Naomba msaada wa bus zuri zinazofanya safari za mikoa ya kusini, na hotel nzuri za kulala na bei zake.
Nasikia kuna kipande cha barabara baada ya kuvuka daraja la Mkapa ambacho bado hakijajengwa kwa kiwango cha lami, je kipindi hiki cha mvua panapitika?