Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Omba jingine hiyo umepata eeh!:becky:
Upo mtaa gani niifate pipi zangu:becky:
Omba jingine hiyo umepata eeh!:becky:
Upo mtaa gani niifate pipi zangu:becky:
Kama kawaida yangu nipo huku Kiwalani kwa Bom Bom!:becky:
Ukipita maeneo yangu ya kujidai nishtue, nakalia kigogo mie!..karibu sana Dar!!
:becky::becky::becky: Una kalia Kigogo Mwisho?
Karibu mjini bana....njoo tusaidiane kupambana na foleni yakhe~halafu tutafutane ati!.Wapwaz na Binamuz.................niombeeni nifike salama!
Karibu mjini bana....njoo tusaidiane kupambana na foleni yakhe~halafu tutafutane ati!.
Patamu...Ukipita maeneo yangu ya kujidai nishtue, nakalia kigogo mie!..karibu sana Dar!!