Safari yetu London ilikua nzuri sana!!!!!

Safari yetu London ilikua nzuri sana!!!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
946
Habari wana jf!
Kuna baadhi ya nyimbo huwa nikizikumbuka basi huwa nazikumpuka sikukuu za zamani(xmas,new year,idd)
Hizi ni baadhi ya nyimbo zilizonigusa lakini siwakumbuki wamiliki wenye nyimbo hizi.
Nataka mtu anitengenezee nyimbo hizi na anipe bei.
1.Safari yetu London........
2.Bujumbula........
3.Isaya.......
4.Marashi ya pemba........
5.Mwisho wa mwezi.......
6.Amigo......
7.Kisebengo.......
8.Mpenzi luta.............
9.Rangi ya chungwa.......
10.Amka kumekucha........
11.Makumbele........
Na nyingine kwa anayezikumbuka...............
 
Kama unayo safari yetu Mbeya na pia unakumbuka sikukuu ya wakulima sabasaba,hii safari yetu London utaipata!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom