Safari yangu ndani wilaya ya Kondoa

Safari yangu ndani wilaya ya Kondoa

Selle Milao

Member
Joined
Mar 30, 2016
Posts
32
Reaction score
30
1118087

Mimi mwana Dar es salaam mzaliwa wa Amana Hospital kabila Mkwele na Uzaramo mchanganyiko.
Nimekuwa na kawaida kutembelea maeneo tofauti kitika nchi yangu ninapopata nafasi baadhi ya maeneo niliofika Gombe na Mahale, Rubondo, Mikumi, Saadan, Tarangire na baadhi hifadhi list ndefu.
Kondoa hapa nilipapenda kutokana na ukalimu na mgeni wanakufanya ujione mwenyeji.
Baadhi ya maeneo niliotembelea Kolo hapa kuna michoro ya mapangoni ina zaidi ya miaka 1500 pia kabla ujaenda huko kuna Makumbusho ndogo hapa utajifunza mila na tamaduni za wenyeji wa Kondoa nimebatika kufika kwenye Nyumba ya mtemi Kimolo kitu cha ajabu kwenye hii nyumba kuna mlango ulijifunga wenyewe siku ya mazishi ya Mtemi hadi leo ujafunguliwa
Nimezunguka sehemu nyingi Baadhi ni Haubi, Masange, Bereko,Itololo, Kisese, Sambwa, Busi na mengineo
1118109
 
Ungeongeza nyama uzi wako kimaelezo ..na pia ungeweka picha za hizo sehemu kufanya watu wavutiwe zaidi watamani fika siku moja
 
Imekugharimu shiling ngap?
Dar - Kondoa kwa basi 25000 hadi 30000 Usafiri wa ndani 5000 hadi 10000 kwa safari moja sehemu ya kulala 5000 hadi 25000 utachagua mwenyewe Mimi nilitumia 300000 nilikaa week moja
 
Na maanisha kuna Ndito yeyote aliyekutembelea kwa hiyo room ya 30k?
Kwanza hiyo 30k ilikuwa ndio bajeti yangu siku zote nilizokuwa huko kuhusu Ndito nguvu zako unaweza kualika wageni 10 kwa siku maana huku kama kumsuma mlevi na hasa ukiwa mgeni tena kutoka Dar
 
Pande zangu huko nna kumbukumbuku nyingi sana ktk hustlinggg za maisha huko

Ova
 
Back
Top Bottom