Safari ya Simba kwenda Morocco

Safari ya Simba kwenda Morocco

Zogoo da khama

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
638
Reaction score
607
Awali ya yote niipongeze Serikali kwa kutoa usafiri wa bure kwenda Morocco jambo hili litaongeza idadi ya wapenzi, wanachama na mashabiki kwenda kuishangilia timu yetu.

Jambo la kuhudhunisha ni uongozi kuambua kuwalipisha watu nauli ya $1,200 hii nini maana yake? Nani yupo nyuma ya hii biashara? Mtu utaljilipia viza, malazi, chakula na kiingilio bado hata huu msaada wa Serikali mnautolea macho? Nendeni wenyewe na watoto wenu.
 
IMG-20250508-WA0004.jpg
 
Awali ya yote niipongeze Serikali kwa kutoa usafiri wa bure kwenda Morocco jambo hili litaongeza idadi ya wapenzi, wanachama na mashabiki kwenda kuishangilia timu yetu.
jambo la kuhudhunisha ni uongozi kuambua kuwalipisha watu nauli ya $1,200 hii nini maana yake? Nani yupo nyuma ya hii biashara? Mtu utaljilipia viza, malazi, chakula na kiingilio bado hata huu msaada wa Serikali mnautolea macho? Nendeni wenyewe na watoto wenu.
Unasema?
 
Awali ya yote niipongeze Serikali kwa kutoa usafiri wa bure kwenda Morocco jambo hili litaongeza idadi ya wapenzi, wanachama na mashabiki kwenda kuishangilia timu yetu.
jambo la kuhudhunisha ni uongozi kuambua kuwalipisha watu nauli ya $1,200 hii nini maana yake? Nani yupo nyuma ya hii biashara? Mtu utaljilipia viza, malazi, chakula na kiingilio bado hata huu msaada wa Serikali mnautolea macho? Nendeni wenyewe na watoto wenu.
Wachezaji,viongozi,benchi la ufundi nasi mashabeek jumla tutakuwa wangapi?Mama atuletee concord tubanane kama ngedere hadi Marrakech.
 
Awali ya yote niipongeze Serikali kwa kutoa usafiri wa bure kwenda Morocco jambo hili litaongeza idadi ya wapenzi, wanachama na mashabiki kwenda kuishangilia timu yetu.

Jambo la kuhudhunisha ni uongozi kuambua kuwalipisha watu nauli ya $1,200 hii nini maana yake? Nani yupo nyuma ya hii biashara? Mtu utaljilipia viza, malazi, chakula na kiingilio bado hata huu msaada wa Serikali mnautolea macho? Nendeni wenyewe na watoto wenu.
Acha njaa Zako wewe Utopolo.
Sisi wanaSimba hatiujalalamikia gharama na nafasi zinagombewa. Ila wewe Mtopolo kinakuwashaaaaa, kama vipi chomoa mwiko.
 
Kila la heri RS Berkane. Funga goli za kutosha hiyo timu inayofadhiliwa na serikali kandamizi ya ccm.
 
Acha njaa Zako wewe Utopolo.
Sisi wanaSimba hatiujalalamikia gharama na nafasi zinagombewa. Ila wewe Mtopolo kinakuwashaaaaa, kama vipi chomoa mwiko.
Mimi sio utopolo tafdhari haya huyo ni utopolo?
 

Attachments

  • Screenshot_20250510_132548_Instagram.jpg
    Screenshot_20250510_132548_Instagram.jpg
    238.8 KB · Views: 15
Acha njaa Zako wewe Utopolo.
Sisi wanaSimba hatiujalalamikia gharama na nafasi zinagombewa. Ila wewe Mtopolo kinakuwashaaaaa, kama vipi chomoa mwiko.
Mimi sio nzi wa kijani please naongea uhalisia je ni wote watamudu hiyo $1,200?
 

Attachments

  • Screenshot_20250510_132548_Instagram.jpg
    Screenshot_20250510_132548_Instagram.jpg
    238.8 KB · Views: 14
Back
Top Bottom