Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
Kijana huyo ambaye anatajwa kuwa machachari kwenye siasa uchwara kama ilivyo elezwa na Rostam Aziz mbunge wa zamani wa igunga aliye ng'atuka mara baada ya kushindwa kuendelea kunywa siasa maji taka.
Kwa huruma ya Makada wa aminifu wa CCM mzee malecela na nduguze wakamfadhili safari ya kufika huko hata afiche uso wake ili aweze kuja kuendelea na siasa .
Hata hivyo katika chanzo cha kuaminika kinaeleza kijana huyo ametia ya aibu mengi sana kwa wenyeji wake huko nitawajuza napanga clips vizuri.
Mwenyewe asema amerudi kwa Ari zaidi, kasi zaidi na nguvu zaidi kujenga chama kupitia JF kwenye ID ya nnauyeJr aliyo ikana mara baada ya kutuhumiwa alitangaza matokea kabla ya NEC.
Nawasilisha
MY TAKE:
Samaki akioza huanzia kichwani, wewe mkia tu uozo lazima.
Kwa huruma ya Makada wa aminifu wa CCM mzee malecela na nduguze wakamfadhili safari ya kufika huko hata afiche uso wake ili aweze kuja kuendelea na siasa .
Hata hivyo katika chanzo cha kuaminika kinaeleza kijana huyo ametia ya aibu mengi sana kwa wenyeji wake huko nitawajuza napanga clips vizuri.
Mwenyewe asema amerudi kwa Ari zaidi, kasi zaidi na nguvu zaidi kujenga chama kupitia JF kwenye ID ya nnauyeJr aliyo ikana mara baada ya kutuhumiwa alitangaza matokea kabla ya NEC.
Nawasilisha
MY TAKE:
Samaki akioza huanzia kichwani, wewe mkia tu uozo lazima.