nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 807
Unatisha mkuuUlizia kama Tunduru mvua inanyesha kama inanyesha Pitia Dar- Songea,hiyo Barabara ya Tunduru -Songea ni moja kati ya Barabara mbovu kuwepo hapa duniani.
Unatisha mkuuUlizia kama Tunduru mvua inanyesha kama inanyesha Pitia Dar- Songea,hiyo Barabara ya Tunduru -Songea ni moja kati ya Barabara mbovu kuwepo hapa duniani.
Uzembe wa mkandarasi pamoja na viongozi,tangu lini wahindi wakawa wakandarasiKama kumbukumbu zangu ziko sawa barabara ya Tunduru - Songea ni mojawapo ya barabara iliyopata ufadhili wa kujengwa kwa kiwango cha lami na serikali ya Marekani kupitia mfuko wa MCC; ni kitu gani tena kilichelewesha ujenzi?
Barabara ilisha isha muda mrefu na kwa sasa kuna basi za kutosha dar - masasi-songea, songea - Lindi, songea- mtwara kusini kuchereHii barabara vipi ilishaisha?
Aisee...kwahyo hakuna haja ya kuzunguka MorogoroBarabara ilisha isha muda mrefu na kwa sasa kuna basi za kutosha dar - masasi-songea, songea - Lindi, songea- mtwara kusini kuchere
Yap vile utakavyopenda Moro au MasasiAisee...kwahyo hakuna haja ya kuzunguka Morogoro