Safari ya arusha mwanza

Safari ya arusha mwanza

kimamii

Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
56
Reaction score
10
Habari wana nzengo.... jana nilikata tiketi basi linaitwa COAST LINE kutokea Arusha kwenda Mwanza, nimeamka saa11 na saa11.30 nilikua tayari stand nilivyofika stand konda nikamwonyesha tiketi, akakata ile seat no akaniwekea nyingne A10, nikakaa nyuma ya dreva kwa corridor ya pili, ikafika muda watu wakajazana niliyekaa nae yeye akaniambia anaenda tabora mmmmh nikasema mm mza..... kwa wanaojua njia ya kwenda mza hupiti tabora, kwenye gari ndani watu wamekata tiketi mara mbili yaan seat moja ina watu wa2...... ilikua vurugu si kidogo uzuri m niliwahi akaja mtu anasema hii seat ni yake nikamwambia aliewahi ndo yake akawa muelewa....... safari ikaanza...... tukafika nzega tukaambiwa abiria wote wa mza washuke wapande basi lingne hapo nje tukashuka.... heeee mara ilo gari tuliyofaulisha limejaa wanataka tukae mbele pale wanakokaaga makonda kwenye engne tuliokua tumekosa seat,hapo bado mizigo unajishushia unapeleka tena kwenye gari tukagoma tukasema twaenda polisi wakatafta gari lingne tukapata seat ilo gari pia watu wametoka dodoma na ALLYS BUS wanadai pia wamefaulishwa hapo nzega, tukaendelea na safari, tulivyofika shinyanga kimbembe kingne, akaja mtu tena hajulikani akasema wanaoenda meatu wabaki kwenye gari wanaoenda mwanza waende kwenye ilo basi lingne tena la ALLYS BUS imagine hakuna aliekua anaenda meatu.

ivyo basi nawashauri wana jamii forum kua haya magari hayafai hayajali thaman ya mteja wanchojali ni faida tu na hayo magari tuliyofaulishwa ni mabovu, full kuchoka usiku mwema wote
 
Pole xana! Ungepanda ngorika mayb ingekua afadhali.....anyway dar express ilianzisha route ya moshi to mwanza wakamwekea zengwe naona ameacha....
 
kwa kua barabara mbaya ndo maana hawana magari mengi kama dar mz,thax
 
kwa kua barabara mbaya ndo maana hawana magari mengi kama dar mz,thax
afu coastline wanakimbiza gar xana.....kuna scania marcopollo inaanzia moshi inaitwa bestline....try that t gonna b ok....
 
Pole sana.. Mshkuru tu Mungu kwa kukufikisha salama mwaya...
 
Kwa mwendo huo wa kufaulishana utakuwa umefika Mza usiku sana, anyway ndio maisha yalivyo siku hazifanani, pole sana
 
Siku nyingine panda AM au Jordan hao ndo wakongwe wa hiyo njia tangu tukiwa na barabara ya vumbi.
 
afu coastline wanakimbiza gar xana.....kuna scania marcopollo inaanzia moshi inaitwa bestline....try that t gonna b ok....

bestline??? huu ni ushauri wa giza, ukikosa mabasi ni bora usafiri siku nyingine kuliko kupanda bestline
 
Habari wana nzengo.... jana nilikata tiketi basi linaitwa COAST LINE kutokea Arusha kwenda Mwanza, nimeamka saa11 na saa11.30 nilikua tayari stand nilivyofika stand konda nikamwonyesha tiketi, akakata ile seat no akaniwekea nyingne A10, nikakaa nyuma ya dreva kwa corridor ya pili, ikafika muda watu wakajazana niliyekaa nae yeye akaniambia anaenda tabora mmmmh nikasema mm mza..... kwa wanaojua njia ya kwenda mza hupiti tabora, kwenye gari ndani watu wamekata tiketi mara mbili yaan seat moja ina watu wa2...... ilikua vurugu si kidogo uzuri m niliwahi akaja mtu anasema hii seat ni yake nikamwambia aliewahi ndo yake akawa muelewa....... safari ikaanza...... tukafika nzega tukaambiwa abiria wote wa mza washuke wapande basi lingne hapo nje tukashuka.... heeee mara ilo gari tuliyofaulisha limejaa wanataka tukae mbele pale wanakokaaga makonda kwenye engne tuliokua tumekosa seat,hapo bado mizigo unajishushia unapeleka tena kwenye gari tukagoma tukasema twaenda polisi wakatafta gari lingne tukapata seat ilo gari pia watu wametoka dodoma na ALLYS BUS wanadai pia wamefaulishwa hapo nzega, tukaendelea na safari, tulivyofika shinyanga kimbembe kingne, akaja mtu tena hajulikani akasema wanaoenda meatu wabaki kwenye gari wanaoenda mwanza waende kwenye ilo basi lingne tena la ALLYS BUS imagine hakuna aliekua anaenda meatu.

ivyo basi nawashauri wana jamii forum kua haya magari hayafai hayajali thaman ya mteja wanchojali ni faida tu na hayo magari tuliyofaulishwa ni mabovu, full kuchoka usiku mwema wote


pole sana kwa safari yenye utata japo tikiti hukatwa siku moja kabla. Kwanini haukujulisha kwa kupiga simu ya mmiliki wa agri?,namba huwa zipo katika tikiti huisika na kumjulisha kuhusu tukio hilo?, au kwanini haukujulisha askari wa usalama barabarani ktk maeneo mnayofika au ofisi za sumatra hata baada ya kufika safari?.Haki unayo ya kusafiri bila karaha au ulibanwa na msemo wa msafiri kafiri?.
 
bestline??? huu ni ushauri wa giza, ukikosa mabasi ni bora usafiri siku nyingine kuliko kupanda bestline
sasa mkuu mie nilipanda bestline last ij umaa na ilikuwa ok! Sasa we waiponda on what grounds??
 
Siku nyingine panda AM au Jordan hao ndo wakongwe wa hiyo njia tangu tukiwa na barabara ya vumbi.

Mkuu sku izi ipo Zuberi Marcopolo,iko safi sana na inafika kwa wakati.Saa 12 unakuwa umeshafika
 
Back
Top Bottom