Aisee wewe ni mwamba Bujibuji, hii ni hobby yako mkuu kama nilivyo mimi. Wakati wengine wanaona unajichosha wewe unaona kawaidaa na una enjoy hizi vitu. Mungu akupe afya ya kutosha mkuu utupe hadithi nyingi zaidi.
"akifa mke mume atazikwa pamoja na mkewe akiwa hai, na akifa mume mke atazikwa na mkewe akiwa hai. Hivyo nalia kama mke wangu akifa na mimi ndo mwisho wangu."
Hivi ile kauli ya "niko tayari kufa kwa ajili yako" huwa ina maana gani?
Aisee wewe ni mwamba Bujibuji, hii ni hobby yako mkuu kama nilivyo mimi. Wakati wengine wanaona unajichosha wewe unaona kawaidaa na una enjoy hizi vitu. Mungu akupe afya ya kutosha mkuu utupe hadithi nyingi zaidi.
Aisee wewe ni mwamba Bujibuji, hii ni hobby yako mkuu kama nilivyo mimi. Wakati wengine wanaona unajichosha wewe unaona kawaidaa na una enjoy hizi vitu. Mungu akupe afya ya kutosha mkuu utupe hadithi nyingi zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.