Saed Kubenea: Aliyosema Mwalimu Nyerere sasa yametimia

daaa,watu bwana,wengine washaanza kuchangia thread kali hii kwa mitazamo ya kidini,anyway ni migongano tu kwani hata glasi kabatini hugongana,suala la msingi hapa ni kuwa alichosema kubenea ni ukweli mtupu na itabaki kuwa hivyohivyo,huwezi kumfananisha nyerere na raisi yeyote aliyukuja mbele yake kwani yy alichukia ufisadi na hakukumbatia matajiri,na hata madini hakuwa na haraka nayo kuyachimba na alikuwa na msimamo na kauli moja,hakuwa legelege,alikuwa na qualities za uongozi ingawaje pia alikuwa na udhaif
 
Mwanahalisi siku hizi limeishakuwa gazeti la udaku, watu wamelichoka mpaka saa 10 jioni lipo kwenye vibanda vya magazeti.

Hoja dhaifu sana hii,pengine limekua la udaku kwa nyie wenye kusoma zaidi magazeti ya Eric Shigongo,so mitazamo yenu kwa magazeti mengine kama mwanahalisi lazima yawe ni ya udaku
 
Utawahadaa hao hao mazezeta,wewe ni mmoja wa wasaliti wakubwa wa nchi hii amini nakuambia kila chenye mwanzo kina mwisho hata kama sio leo
 
Kwa ufupi CCM imeshindwa kuongoza nchii, toka ilivyoacha miiko yake kwa kuvunja azimio la Arusha mambo yote yaliharibikia hapo. Kurekebisha hii hali ni kuondoa mfumo mzima kwani wote wameoza pale
 
Nani ana CV ya kilaza kubenea?naomba anyooshe mkono juu na atuwekee hapa ili tuijue kabla ya kupoteza muda kujadili maandishi yake.

Na hivi tume ya kuchunguza mauaji ya wale wafanyabiashara wa madini iliundwa na nani?
 
Mwanahalisi siku hizi limeishakuwa gazeti la udaku, watu wamelichoka mpaka saa 10 jioni lipo kwenye vibanda vya magazeti.

nakala zinatolewa za kutosha na linanuliwa sana!
Gazeti gani linakwishwa ?
 
Utawahadaa hao hao mazezeta,wewe ni mmoja wa wasaliti wakubwa wa nchi hii amini nakuambia kila chenye mwanzo kina mwisho hata kama sio leo

Wewe nishambilie mimi binafsi mpaka uchoke, mimi nashambulia rikodi zilizokuwepo. Hapo sasa!

Unga wa yanga umeshakunywa uji wake wewe? (mimi nimeshakunywa wakati wa Nyerere).
 
Tutabishana sana kwa hoja maana kila mtu anahoja zake, lakini ukweli ni kwamba kunatatizo tz, tatizo kubwa. Serikali ilipaswa kushughulikia hali hiyo na sio kubeza madai makubwa na ya msingi kama hayo aliyoweka Kubenea. Kauli mbili mbili kwenye suala moja za nini? hii ni mbaya na wala sidhani kuna MTZ anafurahia serikal kuwa kama imepalaganyika vile, tunawalipa hawa watu kufanya kazi, sio kututelekeza na matatizo kibao yasiyo na majibu sahihi.
 

Soma katikati ya mistari. Imetajwa Serikali inayoongozwa na CCM ambayo Mwenyekiti wake ni JK ambaye ndiye Rais pia. Watanzania si wajinga tusijue kuwa tumeichoka CCM kwa ujumla lakini haituzuii kuita spade ni spade
 


Mnatafuta visingizio kwa ujinga na upuuzi wenu mwalimu alifanya kazi yake na muda wake ukaisha!!!

Wewe na wana magamba wenzio mnatakiwa mipge hatua....

Au la semeni na kubalini wazi kuwa nchi imewashinda!!

Kagame aliichukua nchi baada kuvurugika kabisa!! lakini angalia sasa anavoenda vizuri....wala hamsingizii mtu kuwa

aliweka misingi mibaya ndiyo maana haendelei, yeye anasonga mbele!!....

Angalia usivyo na sono wala akili....!! unadhani kujua kutumia choo cha kuflashi ndiyo akili!!

Wewe na Wenzio CCM ni janga la Dunia....maana hata hao wazungu wanaotunyonya inafikia hatua wanatuonea

huruma kwa umbumbu wetu!
 
Nani ana CV ya kilaza kubenea?naomba anyooshe mkono juu na atuwekee hapa ili tuijue kabla ya kupoteza muda kujadili maandishi yake.

Na hivi tume ya kuchunguza mauaji ya wale wafanyabiashara wa madini iliundwa na nani?

Mimi naomba tuwekee CV yako hapa maana unataka kulinganisha hoja kwa CV.
 
Hicho chama wakati wake kilifanya nini zaidi ya kuiingiza hii nchi kwenye lindi la umaskini. Ni yeye aliyekianzisha na kilikuwa na misingi mibovu, imebomolewa sasa inasukwa upya. Na bado!
unatia hasira wewe!! basi tu huku kuna ban!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…