we una elimu gani
Ndio tatizo la elimu ya kuunga unga inapohoji mambo makubwa, kwa nini asikae tu kimya??
Ana hirizi kiunoni kama Zitto.
Hapa na pa
Siyo mara yake ya kwanza. Nina wasiwasi na uelewa wake katika mambo yenye uhitaji wa elimu ya kutoshaTyping error
Kamanda kwani humjui ni mzee wa elimu ya hapa na pale... hehehehee dunia yetu hii ya ajabu....muoneeni huruma tuu..hana uelewa na atendalo maskini..
Anatafuta kiki ambazo hana uwezo nazo kuji defendNdio tatizo la elimu ya kuunga unga inapohoji mambo makubwa, kwa nini asikae tu kimya??
Huyu mzee wa sidiria bungeni na vy**pi.Siyo mara yake ya kwanza. Nina wasiwasi na uelewa wake katika mambo yenye uhitaji wa elimu ya kutosha
Kuna siku alisema idadi ya watumishi wa umma walioachishwa kazi kwa kuwa na vyeti feki ni mamilioni. Huyu mtu pumbavu kabisa, akibanwa athibitishe zinaanza nyimbo za wapinzani kukandamizwa.Siyo mara yake ya kwanza. Nina wasiwasi na uelewa wake katika mambo yenye uhitaji wa elimu ya kutosha
Kuna mtunzi wa nyimbo na muimbaji huyo kubenea ni muimbaji tuKuna siku alisema idadi ya watumishi wa umma walioachishwa kazi kwa kuwa na vyeti feki ni mamilioni. Huyu mtu pumbavu kabisa, akibanwa athibitishe zinaanza nyimbo za wapinzani kukandamizwa.
Kweli kabisaKubenea ana tatizo la akili,ile tindi kali aliomwagiwai lipenya hadi kwenye ubongo,ni wa kuhurumiwa tu huyo
Kubenea sifa ya kuwa kiongozi hana. Ingependeza kama angekuwa kundi moja na mzee Yusufu enzi zake kwenye taarabKweli kabisa
YapSaidi kubenea........mwanasiasa wa chadema et ee??
Mtunzi yeye, mwimgaji yeye.Kuna mtunzi wa nyimbo na muimbaji huyo kubenea ni muimbaji tu
Nadhani Tindikali haikumuacha salama.Huyu mzee wa sidiria bungeni na vy**pi.