BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
nimeshtushwa sana kwa tanzania kutokuwepo kwenye list ya mradi wa kuangamiza malaria wa sadc,umoja huo umeteua windhoek namibia kuwa makao makuu ya mradi huo.msemaji wa sadc alisema lesotho imeshaangamiza malaria,tanzania imekataa kujiunga ktk mradi huo kwa kuwa imeamua kupooza control malaria sio kuiangamiza kabisa!my note kweli serikali letu halina huruma na raia wake ndio maana majuzi wamegawa vyandarua vilivyotengenezwa na muhindi wa arusha,kwa maana nyingine miradi ya malaria tanzania ni ufisadi mtupu hakuna nia ya kuumaliza ugonjwa huo:source bbc swahili