DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,438
Habari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi, niende moja kwa moja kwenye mada.
Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)
Na laiti tungekua na uwezo wa kuona Vita iliyopo kiroho sidhani Kama tungetazamana mara mbili unakuta huyo huyo anaekupeleka hospitali ndie aliekuroga, ndugu zako wanakupiga juju ili usitoboe yaani Mambo ni mengi na ya hovyo tu.
Lakini ibada za siku hizi kwenye haya madhehebu yetu ni mara Mia ukakaa nyumbani ukasoma biblia na ukaenda kusaidia masikini moja kwa moja na ukabarikiwa.
Sadaka zimekua nyingi Sana mtu unakutana na zaidi ya vikapu vitano,baraka zitatoka wapi hapo? Mtu unaanza kugawa sadaka SI ndo yale yale ya kaini na habili?
Nawasilisha.
Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)
Na laiti tungekua na uwezo wa kuona Vita iliyopo kiroho sidhani Kama tungetazamana mara mbili unakuta huyo huyo anaekupeleka hospitali ndie aliekuroga, ndugu zako wanakupiga juju ili usitoboe yaani Mambo ni mengi na ya hovyo tu.
Lakini ibada za siku hizi kwenye haya madhehebu yetu ni mara Mia ukakaa nyumbani ukasoma biblia na ukaenda kusaidia masikini moja kwa moja na ukabarikiwa.
Sadaka zimekua nyingi Sana mtu unakutana na zaidi ya vikapu vitano,baraka zitatoka wapi hapo? Mtu unaanza kugawa sadaka SI ndo yale yale ya kaini na habili?
Nawasilisha.