RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,520
Kutokana na kutoa taarifa za uongo zinazoendelea kulichafua jeshi la pilisi pamoja na serikali, Its time now viongozi hawa wawajibike kama kweli hawako pale kisiasa. They must respect the Police Army and citizens of Tanzania, si kwa nia mbaya ni kwa kujali zaidi maslahi ya nchi na mustakabli wa taifa na usalama wake.
Kova na Mwema wajiudhuru kuonyesha nidhamu jeshinu, uungwana na professional ethics.
Kova na Mwema wajiudhuru kuonyesha nidhamu jeshinu, uungwana na professional ethics.