SACP Kova & IGP Mwema must resign

Mimi ninacho amini ni hakuna kitu kisichokuwa na mwisho. Damu ni nzito kuliko maji. Ni lazima afe anayetetea huu upuuzi.
 
msizani watu wote tanzania huwa wanakurupuka, kila kitu kina taratibu zake sio kutangazatangaza tuu, walikuwa wanafuatilia taratibu thats why walichelewa, pia suala la kuachia ngazi halina maana coz mtu mwenyewe alitamka( kama alivyosema mchungaji) sasa kulikuwa na sababu gani mbaya ya kusema kuwa wanamshikiria na uchunguzi unafanyika. TUWE NA SUBIRA MAJIBU MAZURI TUTAPATA TUSIWE WAKURUPUKAJI TUU
Toa hapa pumba zako, msifanye watanzania ni wajinga kiasi hicho, eti tuwe na subira, kwenda huko
 
Naanza kuwa na mashaka na wale watu waliokamatwa kule Serengeti kwa madai kuwa ndio walimuua yule mzungu. Na mashaka yangu yako kwenye hizi theory mbili:

1. Watu walioneshwa kwenye TV waliandaliwa maalum kama show tu.

2. Baadhi ya Police walikuwa washiriki wakuu kwenye huo mkasa na mambo yalivyokuwa mazito haraka haraka wakaleta vitu vilivyoibwa lakini wakatumia watu wengine kabisa kusema kuwa ndio waliohusika.

Kwa vyovyote vile imani ya wananchi kwa jeshi la police pamoja na vyombo vingine vya usalama inakuwa mashakani. Balaa.
 
Resignation is not mentioned once in their respective (combined) job descriptions! It's alien word which not only that they won't understand but the one they cannot learn of.

Cheating, killing and lying are called "virtues" in their respective jobs and profession, mind you.
 
sasa kulikuwa na sababu gani mbaya ya kusema kuwa wanamshikiria na uchunguzi unafanyika.
HOTUBA YA RAIS: Ni dhahiri Kikwete alishathibitishiwa kuwa serikali haikuhusika na utekaji. Je polisi walimpa rais wa nchi taarifa ya uongo? Mchungaji Gwajima anasema huyo mtuhumiwa alikabidhiwa mikononi mwa polisi punde tu baada ya tukio, June 26
 
Hawawezi kujiuzuru ingawa kuna kila sababu ya wao kufanya hivyo. Tatizo ni rais dhaifu. Uovu wote unafanyika kwa sababu yupo kama hayupo, labda na yeye ni sehemu ya uhalifu huu. Haiwezekani idara nyeti kama polisi wafanye mambo ya ajabu kiasi hiki.
 
Kutokana na kutoa taarifa za uongo zinazoendelea kulichafua jeshi la pilisi pamoja na serikali, Its time now viongozi hawa wawajibike kama kweli hawako pale kisiasa. They must respect the Police Army and citizens of Tanzania, si kwa nia mbaya ni kwa kujali zaidi maslahi ya nchi na mustakabli wa taifa na usalama wake.

Kova na Mwema wajiudhuru kuonyesha nidhamu jeshinu, uungwana na professional ethics.


Ngoja wale jamaa wa suruali fupi waje watakuambia wewe ni mdini unawachukia Suleiman na Said sababu ya dini yao
 
Nafikiri maelezo haya sio sahihi, kwani Dr Ulimboka alitekwa usiku wa kuamkia tarehe 27/6, na huyo mtu alienda tarehe 26/6 kueleza kuwa yeye ndio aliyehusika kutekwa kwa dr ulimboka na siku hiyo hiyo alipelekwa kituo cha polisi!!!!
 
Back
Top Bottom