Hii Saccos ya Bumbuli Development Corporation ipo Jimboni Bumbuli kwa Marope mdogo au ni ya wapi?
Ndani ya Mwaka mmoja wamelamba 2.4 billion mikopo ya NSSF kinyume na kanuni
Ama Kweli NSSF wametafuna..
Kumbe ndo maana hawataki kulipa FAO la KUJITOA
Haki za Wanyonge zinatafunwa sana na wakubwa
Viongozi wa Tanzania hawana huruma
Ndani ya Mwaka mmoja wamelamba 2.4 billion mikopo ya NSSF kinyume na kanuni
Ama Kweli NSSF wametafuna..
Kumbe ndo maana hawataki kulipa FAO la KUJITOA
Haki za Wanyonge zinatafunwa sana na wakubwa
Viongozi wa Tanzania hawana huruma