Ndoto hizoPANAPO MAJARIWA, JENGO LITAKAMILIKA MWISHONI MWA MWAKA
Mwanakisonge usharudi fungateni mombasa?Ni kweli kabisa mimi jobless wala hujakosea lakini cha ajabu bi mkubwa wako kanipendea hicho si unajua sisi majobless kazi ni moja tu.
Ha ha ha, jamii forum ina kila aina ya vibweka.Ni kweli kabisa mimi jobless wala hujakosea lakini cha ajabu bi mkubwa wako kanipendea hicho si unajua sisi majobless kazi ni moja tu.
Walitakia nini hilo jengo? Wewe mwanachadema?
Walitakia nini hilo jengo? Wewe mwanachadema?
unaonekana jobless, hopeless na usiye na dira......
Uzi wa kimbea huu
Ritz kawashika makamanda machoni.Nineona wachangiaji wote ni hopeless.kauliza kama huna jibu kaa kimya.et mnajiita wasomi.
Nimecheka sanaNadhani wamejengea tumboni.
hakunaWanaukumbi.
MFANYABIASHARA maarufu nchini, Mustafa Sabodo alihudhuria Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mwaka 2012 na kuahidi kukijengea chama hicho jengo la kisasa la makao yake makuu.
Vipi hilo jengo lipo maeneo gani yoyote anayejua kwa faida ya JF tunaomba atujuze.
Tufahamishemi makamanda sisi wengine tupo mbali na Jiji la Dar es Salaam au limejengwa Arusha au Kilimanjaro.