Sabodo alishawapa CHADEMA jengo la kisasa?

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
51,201
40,113
Wanaukumbi.

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Mustafa Sabodo alihudhuria Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mwaka 2012 na kuahidi kukijengea chama hicho jengo la kisasa la makao yake makuu.

Vipi hilo jengo lipo maeneo gani yoyote anayejua kwa faida ya JF tunaomba atujuze.

Tufahamishemi makamanda sisi wengine tupo mbali na Jiji la Dar es Salaam au limejengwa Arusha au Kilimanjaro.
 
Kamanda kwani jengo lenyewe lipo wapi?
Ukishajua itakusaidia nn? mwana ccm walitakia nn Jengo LA chadema? Mkuu uvccm inapotea kwa kasi km si kufa kabisa ni busara mkaiangalia kwa jicho LA tatu kuliko kupoteza muda na cdm
 
Unapenda sana kunitukania mamangu kakukosea nini? Dawa yako ipo jikoni inachemka!
Tusi ni tusi tu haijalishi lina uzito gani. Ukitaka usutukanwe, nawe jizuie kutukana. Kwani kulikuwa na ulaxzima gani wa kumtukana ni jobless, asiye na dira?

Kweli mkuki kwa nguruwe enhee... Ritz1 kauliza kiungwana kabisa, anataka majibu we unamshambulia?
 
Chama kipo kwenye mioyo yetu tunajenga chama Na siyo ofisi endeleeni kujidanganya Na ofisi zenu zilizojengwa kwa nguvu ya wananchi enzi za chama kimoja
 
Labda waliamua kujijengea ofisi binafsi kwa kila kiongozi...HII NI KWA GTs PEKEE!
 
Ili mkweke X mapema mseme ni eneo la wazi!!
Mbona CUF wana jengo lao pale Buguruni sokoni mpaka leo awajawekewa X, kamanda unataka kuniambia jengo lipo mnafanya siri kulitangaza mnaogopa litawekewa X?
 
Back
Top Bottom