Sabasaba: Banda la Wizara ya Utamaduni

Sabasaba: Banda la Wizara ya Utamaduni

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,773
Reaction score
1,174
Maonesho ya Sabasaba yanaelekea kuhitimishwa hapo kesho Julai 13, 2023.

Banda la Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo linaendelea kuwavutia wageni mbalimbali kutemelea banda hilo kupata elimu na burudani.

IMG-20230712-WA0062.jpg
 
Back
Top Bottom