Sababu za watoto kuchelewa kutambaa msaada

Sababu za watoto kuchelewa kutambaa msaada

Body Armory

Member
Joined
Jun 24, 2021
Posts
19
Reaction score
10
Wana Jf habari za kazi na mihangaiko ya hapa na pale,

Nilikuwa napenda kufahamu sababu zinazopelekea baadhi ya watoto wakachelewa kutambaa au wakawahi kutambaa katika kipindi cha ndani ya mwaka mmoja mpaka miwili.
 
1.Kuna watoto hawapendi uchafu kwaio kutambaa kwake anaona kinyaa kushika chini
2. Ubaridi wa sakafu
3. Sakafu kuwa na michanga mtoto mwengine anaumia
4. Kuna baadhi ya watoto ni wasiri, anatambaa msipokuwepo au hata kutembea ila mkiwepo anatulia
5. Sio kila mtoto anatambaa wengine hunyanyuka na kuanza kutembea
6. Kutokucheza na mtoto, mazingira yanayomzunguka hamna mtu ambae anamu encourage kutambaa
 
Back
Top Bottom