Sababu za VAR kufungiwa stoo zimejulikana.

Sababu za VAR kufungiwa stoo zimejulikana.

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,617
Reaction score
39,974
Itakuwa aibu kuwa na VAR huku marefa wakitumia VAR hata Kwa matukio yanayoonekana Kwa macho ya kawaida.
 
penati tatu za wazi zimekataliwa. laiti matukio yale yangekuwa upande wa pili, basi yote yangekuwa penati
 
Lile tukio la kwanza lilikuwa ni clear penalty! Walau yale matukio mengine mawili, mwamuzi angeweza kusema ni 50/50!
Maajabu sasa! Matukio yale yale wangecheza simba, yote wangepewa matuta!

Nadhani ifikie wakati waamuzi wetu wajisikie aibu, na hivyo kuachana kabisa na huu upuuzi wa kuzibeba baadhi ya timu fulani fulani kwenye ligi.
 
Lile tukio la kwanza lilikuwa ni clear penalty! Walau yale matukio mengine mawili, mwamuzi angeweza kusema ni 50/50!
Maajabu sasa! Matukio yale yale wangecheza simba, yote wangepewa matuta!

Nadhani ifikie wakati waamuzi wetu wajisikie aibu, na hivyo kuachana kabisa na huu upuuzi wa kuzibeba baadhi ya timu fulani fulani kwenye ligi.
Njooni June 15 muwalipie hizo mnazosema penati.
 
Ile misimu mitatu mliotamba kwa kuhonga waamuzi, timu, Hadi kufikia kumuita hersi kama Mungu wa yanga ndio inarudi kwa Simba..
Kuomba kwa kupokezana ..
Hivi Ile jezi ya kaizer chiefs Mungu wenu hersi Bado anayo?
 
FB_IMG_1748445926425.jpg
 
VAR kwenye Rushwa haifanyi kazi, wale Stellenbosch wametolewa na Simba kwa Dhulma uku VAR katika mechi zote mbili ilikuwepo.
Kule Morocco mechi ya kwanza ya fainali ya Simba, kabla ya mchezo kuanza ma Captain wa timu wali itwa na refa kuambiwa VAR haifanyi kazi.

Simba walipo tiwa chuma ya tatu, VAR ikapona na kuamuliwa Goli la tatu la Berkane sio Goli.

Yakaja matukio mawili ya Penalty walizo stahili kupewa Berkane VAR ikawa imerudi kwenye Ubovu hawakuweza kuona Yale matukio ya Penalty.
Apa Bongo ata VAR ikiwepo Bado maamuzi yatakua ya hovyo kwakua marefa ndio walewale wakina Tatu malogo, Kefa Kayombo, Heri Sasi n. K
 
VAR kwenye Rushwa haifanyi kazi, wale Stellenbosch wametolewa na Simba kwa Dhulma uku VAR katika mechi zote mbili ilikuwepo.
Kule Morocco mechi ya kwanza ya fainali ya Simba, kabla ya mchezo kuanza ma Captain wa timu wali itwa na refa kuambiwa VAR haifanyi kazi.

Simba walipo tiwa chuma ya tatu, VAR ikapona na kuamuliwa Goli la tatu la Berkane sio Goli.

Yakaja matukio mawili ya Penalty walizo stahili kupewa Berkane VAR ikawa imerudi kwenye Ubovu hawakuweza kuona Yale matukio ya Penalty.
Apa Bongo ata VAR ikiwepo Bado maamuzi yatakua ya hovyo kwakua marefa ndio walewale wakina Tatu malogo, Kefa Kayombo, Heri Sasi n. K
punguza hisia toa maoni
 
punguza hisia toa maoni
Ayo ndio maoni, hakuna hisia yaani iki tunachokiona kwenye Ligi kwa sasa ndicho kitakacho tokea ata VAR ikiwepo.
Wenzetu Ulaya wameweka VAR ili iwe msaada kwa waamuzi ila apa kwetu waamuzi ndio wataisaidia VAR kutafsiri.
 
Lile tukio la kwanza lilikuwa ni clear penalty! Walau yale matukio mengine mawili, mwamuzi angeweza kusema ni 50/50!
Maajabu sasa! Matukio yale yale wangecheza simba, yote wangepewa matuta!

Nadhani ifikie wakati waamuzi wetu wajisikie aibu, na hivyo kuachana kabisa na huu upuuzi wa kuzibeba baadhi ya timu fulani fulani kwenye ligi.
My name is Ramadhani Kayoko.......dabi ljayo refa nitakuwa mimi tena
 
Back
Top Bottom