tetea tete
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 388
- 127
Lole hacha ujinga usipende kuropoka una uhakika Na usemayo watu wengine bwana hovyo
Yes, kwa upande wa Zanzibar Cuf ni wengi...Ila bara ambapo kuna over 90% ya voters Cuf itabaki historia ikijitoa Ukawa. Ukawa imewapa uhakika wa kupata nafasi za ubunge tena kwenye majimbo yenye maelfu ya watu. Watajutia!Njoo uweke mkutano zanzibar kati ya chadema na cuf ukitoka hapo najua utaamini kwamba cuf ni muhimu kwenye ukawa.
Ni vema tusiwe na vichwa vya panzi na tujiulize maswali magumu na tupate majibu yake.Sasa hebu tujuze mgombea wa UKAWA ni nani hivi sasa?Lole hacha ujinga usipende kuropoka una uhakika Na usemayo watu wengine bwana hovyo
Sasa wewe mwenye akili za Kikawa zaidi kuliko wengine hebu tujuze.unahangaika sana , kila siku lazima ufungue thread kuhusu ukawa.
Na bado mwaka huu mtakoma , hiyo ni bashrafu tu.
UKAWA umoja wa vyama vya wajuaji wengi!
Du, Siku hizi MUSSA ALLAN umebadilika sana